Hatimaye Bodi ya Ligi yaishusha Stand utd, Kagera Sugar kucheza Play Off

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
TFF kupitia bodi ya Ligi imeomba radhi kutokana na upotoshwaji wa data na kupelekea kuishusha Kagere Sugar isivyo sahihi. Leo mchana akiongea na waandishi wa habari CEO wa bodi ya Ligi Wambura ametangaza Stand United kushuka daraja na Kagera sugar kucheza play off
 
Ningefurahi ingebaki vile vile hata kama kaonewa lakini bado nawaombea wafungwe na Pamba
 
BODI YA LIGI YAIREJESHA KAGERA SUGER PLAY OFF.

HEMED KIVUYO.

Bodi inayosimamia ligi kuu Nchini imekiri Kuwepo kwa Makosa ya takwimu Na kuirejesha timu ya Kagera suger katika ligi kuu ambapo sasa inacheza hatua ya play off.

Akingea Na ITV mtendaji mkuu wa bodi hiyo Boniface wambura AMESEMA kwa Makosa hayo ofisi yake inawajibika kwa kumpa adhabu aliyepotosha takwimu hiyo.

Kwa Mustakabali huo timu ya Stand United in ashuka daraja moja kwamoja Na Kagera suger italazimika kucheza michezo miwili ya play off ili kupata ridhaa ya Kuendelea Na ligi kuu msimu ujao
 
Pumbavu sana hawa TFF, Ujinga wao ni wa kiwango cha kushangaza kila mtu, Aibu iliyoje, Kila mara makosa ya kipumbavu yanatokea kwa mbabe wa Simba - Kagera!!!!
Pale TFF Kuna watu wamewekana Bila kuzingatia weledi hii inachangia hata ligi kukosa wadhamini maana Brand ya Ligi inachafuka kijinga mnaonekana hamko serious
 
Pumbavu sana hawa TFF, Ujinga wao ni wa kiwango cha kushangaza kila mtu, Aibu iliyoje, Kila mara makosa ya kipumbavu yanatokea kwa mbabe wa Simba - Kagera!!!!
Kwa mtindi huu itakuwa shida Sana kupata wadhamini maana Brand Ni ya hivyo hivyo
 
Yaani hii tff ya Karia ni ya kibwege saaana wanataka kuishusha kagera kwa kuwa tu eti wanaifunga simba Kila uchwao, na hata hizo match za play of kagera wajiandae kisaikolojia watafanyiwa Kila aina ya hujuma. Idiot tff
 
Tanzania mpaka tuje tuendeleee itachukua mda sana!! Hii inaonyesha viongoz wasimamizi wana ukilaza fln hiv!!
Weledi hakuna!!

Laana ya simba imtafune kagera ashuke kabsa!
 
BODI YA LIGI YAIREJESHA KAGERA SUGER PLAY OFF.

HEMED KIVUYO.

Bodi inayosimamia ligi kuu Nchini imekiri Kuwepo kwa Makosa ya takwimu Na kuirejesha timu ya Kagera suger katika ligi kuu ambapo sasa inacheza hatua ya play off.

Akingea Na ITV mtendaji mkuu wa bodi hiyo Boniface wambura AMESEMA kwa Makosa hayo ofisi yake inawajibika kwa kumpa adhabu aliyepotosha takwimu hiyo.

Kwa Mustakabali huo timu ya Stand United in ashuka daraja moja kwamoja Na Kagera suger italazimika kucheza michezo miwili ya play off ili kupata ridhaa ya Kuendelea Na ligi kuu msimu ujao
 
walikua wanasema yajayo ynafulahisha tukawa hatuamini

now days naanza kuamini
ligi kuu tz nzima haina official records!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…