Hii nayo ni siasa? Mod ikiwapendeza ihamishieni hii kitu inakostahiliHii inatokana na kutokuonekana kwa mchekeshaji huyu kwenye harusi ya memba mwenzake wa kundi la Vichekesho la ze comedy wakati wengine wote walikuwepo ukimuacha mgonjwa Vengu pekee taarifa kutoka kwa mnyetishaji wetu zinasema wawili hawa wamekuwa hawaivi kutokana na sababu za kibiashara.
Uamuzi wao wa kushirikiana na ccm sasa umewatokea puaniHii inatokana na kutokuonekana kwa mchekeshaji huyu kwenye harusi ya memba mwenzake wa kundi la Vichekesho la ze comedy wakati wengine wote walikuwepo ukimuacha mgonjwa Vengu pekee taarifa kutoka kwa mnyetishaji wetu zinasema wawili hawa wamekuwa hawaivi kutokana na sababu za kibiashara.
Nimakada wa ccm haoHivi hawa wapuuzi Comedy ndio wa kujadili humu
Please acha mzaha bana
sasa hii nayo ina fit humu kwenye jukwaa la siasa?Hii inatokana na kutokuonekana kwa mchekeshaji huyu kwenye harusi ya memba mwenzake wa kundi la Vichekesho la ze comedy wakati wengine wote walikuwepo ukimuacha mgonjwa Vengu pekee taarifa kutoka kwa mnyetishaji wetu zinasema wawili hawa wamekuwa hawaivi kutokana na sababu za kibiashara.
Au ndio maana wema jakate na wolper hawakuwepo?Mlisema kiingilio kwenye hii harusi ni laki moja.
Imekuaje?
Padri?Mkuu mimi nimeshaamua kuishi maisha ya kiseja.....ni mazuri ajabu.......muda mwingi nautumia kusoma vitabu kujiongezea maarifa.....
Ilikuwa kabla hajamrudia Mungu wake, baada ya kumrudia Mungu ndio akawaacha, akaanza maisha mapya, neno linasema, tazama yakale yamepita ............Si mchungaji huyu jamaa alikua ana bunyua kondoo wake hhh katisha kawapa nyumba? basi list ilikua ndefu poleni kondoo mlio achwa kwa kukosa malisho
Vijana wengi huwa hawafanyi hiviwalipendeza....
nakumbuka aliwaomba samahani ma ex wake wote
Vijana wengi huwa hawafanyi hivi
ntajie io page nthibtshe tafadhal.
Ebu fnya mautundu uipate fasta. Naitaj kuthbtshanishaisahau mie
Ivi Insta kuna page za video za matusi? Acha na iz za kawaida Kawaidanishaisahau mie
Tofauti ya kuoa na kutooa ipo, lakini ndogo!! Wasiooa wanatafuna wake/waume za watu, na waliooa wanatafuna wasioolewa, kwangu kuoa ni kama fashion tu!!Nini mbaya?