Hatimaye Comedian Masanja Mkandamizaji auaga ukapera

Naweza kukuelewa kidogo mzee mwenzangu kwani kuoa ni kama fashion tu siku hizi, kuchapa na kuchapiwa ni mambo ya kawaida
Hakuna namna ni kuomba mungu tu na kuwa na moyo wa uvumilivu vinginevyo segadanse itatuita maana ndio kizazi chetu hiki kama huna kifua unaweza kuua.
 
Nasikia masanja alikua Topaz mnoo,bi harusi alilazimika kuishi kwa mchungaji baada ya engagement mana watu walikua hawakauki kwa sangoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…