Najisikia aibu! Yaani Breaking News Davido kum-follow Kiba!!!! Thanks God hili jukwaa ni la Kiswahili, tafadhali ndugu zetu Wakenya msipite kwenye huu uzi manake na nyie mlivyo na shobo, nisingependa hizi aibu zetu mzishuhudie!!
Mshamba humjua mshamba mwenzie the same tu changu mana huwa wanakutana na kufanya umalaya pamoja.team Kiba ni washamba sana wallah...Davido kawafollow machangu wawili,Matikibokoyao na Dougiemasta sa kumfollow Kiba cha ajabu ni nini hapo?
Naomba nikupuuze mheshimiwa!!!acheni roho mbaya habari ulitaka iwe Davido kumfollow Dimond?...achen kuweweseka..