ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
kwa diamond watashindana lakini hawatashindaDiamond ni msanii mwenye roho nzuri sana huwa hana shida na mtu yeye hujali yanayo muhusu tuu na hupambana na hali yake....
Diamond ana msaidia sana Alikiba kuwaka....
Kiba mondHii apaa View attachment 750247
NilikumissWTF!....haya ndiyo mambo watanzania wanafuatilia!![emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
Umeongea kirotoshobolwaDiamond ni msanii mwenye roho nzuri sana huwa hana shida na mtu yeye hujali yanayo muhusu tuu na hupambana na hali yake....
Diamond ana msaidia sana Alikiba kuwaka....
Yan mtoto wa ng'ombe n ng"ombeDiamond ni msanii mwenye roho nzuri sana huwa hana shida na mtu yeye hujali yanayo muhusu tuu na hupambana na hali yake....
Diamond ana msaidia sana Alikiba kuwaka....
yani nini tena mamiiYaani