Hatimaye Diamond amtakia ndoa njema Ali Kiba

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond platnumz amemtakia Ali kiba Ndoa njema yenye baraka na furaha Tele!

Kitu ambacho watu wengi hawakutegemea lakini diamond kakifanya hakika kweli Sanaa Imezaliwa Upya!

Nini mtazamo wako

 
Diamond ni msanii mwenye roho nzuri sana huwa hana shida na mtu yeye hujali yanayo muhusu tuu na hupambana na hali yake....
Diamond ana msaidia sana Alikiba kuwaka....
Diamond angependa sana tena sana kuwa na amani na Ali lakini tatizo ni Ali atakosa kupata ugali wa kila siku maana kupitia sinto fahamu baini yao Ali anapata mkate wa kila siku....
 
Tupe quote ya alichoandika huko Instagram
 
Sanaa imezaliwa upyaa....!!??? yani jambo dgo hili limekusaulisha yaliotokea juzi kati tu hapo!?
 
Namshangaa Magufuli mpaka sasa yuko kimya tu, yaani hana taarifa za harusi au hajui kutumia Instagram?
 
Diamond ni msanii mwenye roho nzuri sana huwa hana shida na mtu yeye hujali yanayo muhusu tuu na hupambana na hali yake....
Diamond ana msaidia sana Alikiba kuwaka....
Umeongea kirotoshobolwa
Kuwaka kivipi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…