Hatimaye Diamond anunua Private Jet

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
Diamond ametimiza ndoto yake ya kuwa na ndege binafsi.

Anakuwa msanii wa pili Africa kuwa na private jet.

Mdogo mdogo watakubali tu level za Diamond ni kubwa sana kwa sasa.

Kuna swali naona linaulizwa sana huko insta eti anawezaje kumiliki Jet wakati amepanga nyumba....Soon mtajibiwa kwa vitendo, inaweza ikawa ni kitu kikubwa kuwai tokea Africa nzima. 😊😊😊
 
na haya maisha yake ya kuunga unga??.😁 Na mameneja wake wa darasa la saba!! Sawa. labda ndege ya Ungo
 

Mwambie boss wako asiwe muongo muongo Kama hawezi kuzifanya hizo breaking news kuwa uhalisia.
 
Yani hawa jamaa bana wanacho jitaidi nikutuzima ngoma ya harmonize.... Kwaiyo wanaleta mastor mob ili raia wa focus na izi story kwenye mitandao wenyewe wanaita (kiki) pendaneni wasanii wa muziki ili muziki wa Tanzania ufike duniani uko....
 
Yani hawa jamaa bana wanacho jitaidi nikutuzima ngoma ya harmonize.... Kwaiyo wanaleta mastor mob ili raia wa focus na izi story kwenye mitandao wenyewe wanaita (kiki) pendaneni wasanii wa muziki ili muziki wa Tanzania ufike duniani uko....
Mtu kutoa ngoma hakuzuii maisha mwingine kuendelea. Huwezi tulia eti kisa ukifanya yako ngoma ya flani hatoenda.
Tukiachana na hilo, huyu mleta post kamlisha maneno jamaa hajanunua ndege. Kumiliki ndege ukuachilia mbali kuinunua, pia kuna gharama nyingi zinazoambana na kuwa nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…