Hatimaye Erick Shigongo Atajiunga na chuo mwaka huu

Mwaka wa pili sasa?
Hongera zake huko chuoni aliko...ajaaliwe kumaliza masomo yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaa noma Sana work done equal to zero
 
Aliweza toboa kwa kutumia magazeti yanayoandika story za nguoni bila kusahahau alivyopiga pale CCM kwa kusupply kofia na tshirts kwa bei za kuuwa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…