City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Baada ya kutumia neno la kuudhi wameamua kuomba radhi ingiwa wametumia maneno ya kijanjajanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 ndio maana nimesema wametumia maneno kijanjajanjaHapo hawajaomba radhi
Tafuta shughuri ya kufanya, betting na dubu siyo ajira.Baada ya kutumia neno la kuudhi wameamua kuomba radhi ingiwa wametumia maneno ya kijanjajanjaView attachment 2758603
Nawe pamoja ni Phd jifunze kuandika 'shughuri ' ndio nini!?Tafuta shughuri ya kufanya, betting na dubu siyo ajira.
Tukutumie cv?Tafuta shughuri ya kufanya, betting na dubu siyo ajira.
Sina haja ya kuheshimiwa na wajinga.Nawe pamoja ni Phd jifunze kuandika 'shughuri ' ndio nini!?
Nimekudharau sana kwa mchango wako.
Njoo field CV utaikuta huku huku, makaratasi uliyokaririshwa shule huku hayana nafasi.Tukutumie cv?
Sisi tushakua ma field marshal mkuu sema kingine.Njoo field CV utaikuta huku huku, makaratasi uliyokaririshwa shule huku hayana nafasi.
Tafuta shughuri ya kufanya, betting na dubu siyo ajira.
Bado hawajasema hadi waseme.Baada ya kutumia neno la kuudhi wameamua kuomba radhi ingiwa wametumia maneno ya kijanjajanjaView attachment 2758603
Nami sina haja ya kubishana na mpumbavu.Sina haja ya kuheshimiwa na wajinga.
Kuna shughuri na kazi, kwa akili za kubbet wala huwezi kuona tofauti yake.
Achana naye fala huyo anaishi kwa kukariri.Tukutumie cv?
Hiyo picha umeona sms yao ya pili?Bado hawajasema hadi waseme.
Wanazunguuka mbuyu.Hiyo picha umeona sms yao ya pili?