Yaani team hizi zitatutoa macho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaaaan mi nacheka hapa mpaka machozi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mabest zangu imebidi wakae wameniangalia na kunishangaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tell me how old is she?38 noooooo..........nakataaaaaHaaahaaaaa
Mapenzi mabaya kweli!!mi navuragaga watu tu humu basiNilivyoona huu uzi nikakumbuka shost ulivyobisha voive note sio za missa.
Umeona huko tukinao anamchokoza Mange?
Ha ha ha ha mnajikuta mwisho wote mnavuruganaMapenzi mabaya kweli!!mi navuragaga watu tu humu basi
HaaahaaaaKimdomo chake tu kile anavyokiweka mie ananiacha hoi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa...mi mpk univuruge umenigusa Mimi ila eti umguse Zari,sijui Missa huo muda sinaga..kuna wengine huku nahis wanalipwa maana wanatake serious na mitusi juu!!Ha ha ha ha mnajikuta mwisho wote mnavurugana
Hapo sawa, haya mambo hayatikiwi kuwa serious.Hahaaa...mi mpk univuruge umenigusa Mimi ila eti umguse Zari,sijui Missa huo muda sinaga..kuna wengine huku nahis wanalipwa maana wanatake serious na mitusi juu!!
Ngoja niende[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji23] [emoji23]Keshaamka kapost picha ya Zari ambayo katoka vibaya.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wengine shoga wanapaniki na mitusi juuHapo sawa, haya mambo hayatikiwi kuwa serious.
Iwe kama kuchangamsha genge.
Naona Sepenga duka la watoto lipo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] anarudi na mzigo ...this time kaamua ingawa kachelewa
Bora me sinaga timuYaani team hizi zitatutoa macho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Me nilimuona pale mlimani city Danube....ofcourse ni mmama mtu mzima tuu!Tell me how old is she?38 noooooo..........nakataaaaaView attachment 875587
Anayefanya personal attack sasa huyo ana mengine[emoji21] [emoji21]...Hahaaa...mi mpk univuruge umenigusa Mimi ila eti umguse Zari,sijui Missa huo muda sinaga..kuna wengine huku nahis wanalipwa maana wanatake serious na mitusi juu!!
Anafungua duka?Hapo sawa, haya mambo hayatikiwi kuwa serious.
Iwe kama kuchangamsha genge.
Naona Sepenga duka la watoto lipo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] anarudi na mzigo ...this time kaamua ingawa kachelewa
KabisaWengine shoga wanapaniki na mitusi juu
Wema afadhali auze atulie tu!maana Wema ni brand inayojiuza yenyewe..
Mimi namtaka Wema huyu wa duka,asiyepelekeshwa na wanaume na asiye na chuki
Mbona wapo sana akiona anashindwa basi anakuattach wewe mgombane kuna watu wanakua km wanatafuta sababu vile...Anayefanya personal attack sasa huyo ana mengine[emoji21] [emoji21]...
This gossip based on targeted folks ( misa n zari)
Ndiyo la watoto...dada wa taifa alisema la director joan...ila Wema kaenda na dada yake China kununua mzigo ndiyo wanarudi.Anafungua duka?
Ila ni mzuri huyu mwanamama nilipenda ngozi yake.Me nilimuona pale mlimani city Danube....ofcourse ni mmama mtu mzima tuu!
But kwa hii picha hayuko hivo bana... Hao ni haters wameharibu
Akisimama wima anakua mche wa sabuni no hips no takko, ngoja sasa ajikunje kama funza hips zinakuja zitake zisitakeIla ni mzuri huyu mwanamama nilipenda ngozi yake.
Hamissa huwa simuelewi sijui mlemavu sijawahi muona kasimama kwa kunyooka lazima apinde.