Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

Shoga naona aibu mimi....maana nimekusaliti[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha vituko wewe kua na amani tu vingine vidogo sanaa
 
Tu muombe huyo sheikh ajitokeze hadharani kuthibitisha madai ya huyu mtoto
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha vituko wewe kua na amani tu vingine vidogo sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe kuna mashindano?? Washindi wanapata kitita au safari ya kwenda sauzi afrika?
Kama kuna hadi page 19,,bila mshahara?? Lazima kuna mshahara tu..

Carry on people😂😂😂😂
 
Na uzuri team zari hawatumii nguvu au kujibu kila mtu ni pigo moja tu pwaaa vinaibuka vitetezi vya kila aina maneno meeengiii hadi huruma.
Nimefuatilia comments zote,,,mpaka dakika hii team zari 10 team hamisa 1.

Team hamisa ongezeni bidii ingawa mko wawili tu,
AHSANTENI
 
Umedai hamisa ana umri wa miak 23 na amekuwa na nassibu kwa zaidi ya miaka kumi.

Kwa hiyo nasibu alianza kumchanua huyu binti akiwa na miaka 13? Wakati huo huyu binti alikuwa std gani?
 
Hizi team zari na hamisa had huku JF kumbe zipo hongereni wenye timu zenu.
 
Wanaume wengi walimchukia pale aliporusha picha za chumbani,wanaume wana umoja ule udhalilishaji uliwakera sana(ila sasa angekua kidume kafanya hivyo wangechekelea) pia pugi alizidi dharau majivuno matusi kupitia insta na snap.

Binti angekula taratibu kama akina lyne wala hakuna ambae angemfatilia wala kumuita majina ya kindezi.

Kingine wanawake wanamchukia sababu kawekeza nguvu kumdhalilisha zari kuliko kupigania maslah ya mwanae toka kwa dai. Mfano mdogo tu fatilia komenti za timu yake humu kutwa kumtaja zari,picha na kufatilia kila anapoenda,huku team zari hazina muda na picha za pugi wala show au alipo pugi muda huu.
Nilichogungua kingine ni hamisa hapendwi si na wanawake tu hadi wanaume😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…