Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Ni ile iliyoanzia dimbani,
Ikahamia mezani,
Ikahamia kwenye kamati zingine.
Leo jioni imemalizika kwa simba kufungwa rasmi 2-1.
[HASHTAG]#hizi[/HASHTAG] mambo zingehamia kwenye viwanja basi kila mwezi Tz tungekua tunabeba wedikapu hata Kama inachezwa baada ya miaka minne[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ikahamia mezani,
Ikahamia kwenye kamati zingine.
Leo jioni imemalizika kwa simba kufungwa rasmi 2-1.
[HASHTAG]#hizi[/HASHTAG] mambo zingehamia kwenye viwanja basi kila mwezi Tz tungekua tunabeba wedikapu hata Kama inachezwa baada ya miaka minne[emoji23] [emoji23] [emoji23]