Sure mzee mshahara wa mwalimu miezi 2 una uteketeza kwa siku moja.....Hatari bongo nuksi
Naona aisee nime ku Pm mkuu.....Mkuu fahari ya macho
VizurNdiyo lakin hapa mzee baba tunajadili ball
Hongera sana KamandaKama nilivyoeleza
Jana nimepata zari la kulipia takribani dollars 360 kupata tickets A67 ya kuingilia kuchek UEFA Final
Asante kwake Mr, Richardson's betting centre wa mtaani wangu Odessa kwa kuniwezesha kuipata hata kama Muda haukuwa rafiki tena, pia na kuniongezea bonus ya kulipia ,
Niko njian naelekea Kiev kwanza nijibanze mapema eneo,
View attachment 786060
Uko upande gani madridista au YNWAKama nilivyoeleza
Jana nimepata zari la kulipia takribani dollars 360 kupata tickets A67 ya kuingilia kuchek UEFA Final
Asante kwake Mr, Richardson's betting centre wa mtaani wangu Odessa kwa kuniwezesha kuipata hata kama Muda haukuwa rafiki tena, pia na kuniongezea bonus ya kulipia ,
Niko njian naelekea Kiev kwanza nijibanze mapema eneo,
View attachment 786060
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sure mzee mshahara wa mwalimu miezi 2 una uteketeza kwa siku moja.....
Kweli maisha sio fair hata kidogo......