herzygovina mwangosi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 900
- 431
Pasipo na ubishi wala kuteteleka hili ni jambo zuri ever...baada ya Msanii Mkubwa kumtaka msanii mwenzake ambaye naye ni Mkubwa aje...nijambo jema! Nahisi huu ugomvi wale waliokuwa wananufaika nao,sasa imekula kwao...
kama haitoshi,msanii huyu king kiba uku akiwa anamkaribisha kiroho safi kaka mkubwa platnum ametumia fasihi ya hali ya juu,kwa kumuambia anamkaribisha aje na marafiki zake WCB huu ni upendo mkubwa...lakin kama haitoshi anajaribu kumtaja jina lake pasipo moja kwa kumchora kana kuwa amekuwa akionekana na watu wa kimataifa...huku akimsogeza zaidi kwa moja ya vimwana aliyo wahi kuwa nao..
sanaa hii ni kubwa na yenye umahiri wakutosha hasa pale anapotumia picha ya msichana mzuri akimanisha msanii mzuri lakin kubwa zaidi ni ubunifu na style ya yule Alikiba niliyekuwa na mjua enzi za Cindelela...kani vutia kweli!
Tujumuike hapa kushare verse za ngoma yetu...leo TeamKiba TeamDiamond Kitu kimoja!
kama haitoshi,msanii huyu king kiba uku akiwa anamkaribisha kiroho safi kaka mkubwa platnum ametumia fasihi ya hali ya juu,kwa kumuambia anamkaribisha aje na marafiki zake WCB huu ni upendo mkubwa...lakin kama haitoshi anajaribu kumtaja jina lake pasipo moja kwa kumchora kana kuwa amekuwa akionekana na watu wa kimataifa...huku akimsogeza zaidi kwa moja ya vimwana aliyo wahi kuwa nao..
sanaa hii ni kubwa na yenye umahiri wakutosha hasa pale anapotumia picha ya msichana mzuri akimanisha msanii mzuri lakin kubwa zaidi ni ubunifu na style ya yule Alikiba niliyekuwa na mjua enzi za Cindelela...kani vutia kweli!
Tujumuike hapa kushare verse za ngoma yetu...leo TeamKiba TeamDiamond Kitu kimoja!