NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
π§πππ‘π π¬π’π¨ Milton Nienov
Tunamshukuru Kocha wa Magolikipa Milton kwa mchango wake katika kipindi chote alichofanya kazi kwenye benchi la ufundi la Klabu yetu na tunamtakia kila la kheri katika maisha yake mapya nje ya Young Africans SC.
Maoni yangu:
Naona kabisa benchi la ufundi lote linatembea na Nabi maana walitengeneza Chemistry kubwa sana.
Na Yule jamaa mwenye mzuka (manywele) kama na yeye anaondoka itakua mtihani sana, maana jamaa aliipenda Yanga SC na anamzuka sana haswa timu ikishinda.
Kila la heri kwao.
Tunamshukuru Kocha wa Magolikipa Milton kwa mchango wake katika kipindi chote alichofanya kazi kwenye benchi la ufundi la Klabu yetu na tunamtakia kila la kheri katika maisha yake mapya nje ya Young Africans SC.
Maoni yangu:
Naona kabisa benchi la ufundi lote linatembea na Nabi maana walitengeneza Chemistry kubwa sana.
Na Yule jamaa mwenye mzuka (manywele) kama na yeye anaondoka itakua mtihani sana, maana jamaa aliipenda Yanga SC na anamzuka sana haswa timu ikishinda.
Kila la heri kwao.