Hatimaye leo Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members.

Obviously,cause posting zako hazina vichwa wala miguu,at most zinajaza servers
Ha ha ha ha ha ,hongera wewe mwenye post zenye vichwa na miguu


Ila embu jaribu kuuliza kwa watu kati yako na mimi nani akipotea jukwaani huwa anakumbukwa sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kwanza sidhani kama kuna mtu anakujua humu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu ulifanya kosa gani mpaka wakakufuta vyeo vyote na pia nahisi umelambwa permanent ban ile id yako ya nyani ngabu
1) amekuwa mkosa adabu
2) amehama dini kinyume cha sheria
3) amerudi ccm contrary to
national development vision

2015/2050
4) Amerudi kijijini!!! Anaendesha gesti bubu huko namtumbo!! Ile hadhi ya Usa baaby imeyeyuka!! Chunga asinisikie! Ustaadh
swaleh
 
Like minded individuals kama wewe ndio wanaokujua-wale wenye uwezo wa ku analyse issues hawawezi kukuchukulia serious
 
Akirudi kilamtu wanamsifia

Binadamu banaa kama chapati hatujulikani

Mbele wala nyuma
 
1) amekuwa mkosa adabu
2) amehama dini kinyume cha sheria
3) amerudi ccm contrary to national development vision 2015/2050
4) Amerudi kijijini!!! Anaendesha gesti bubu huko namtumbo!! Ile hadhi ya Usa baaby imeyeyuka!! Chunga asinisikie!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwani yeye nani mpaka asipewe permanent ban ??
Nimejaribu kufatiliaa majibu yako kwa huu uzii....nimegundua kitu kuhusu wewe kwa Nyani ngabu....kama huna ugomvi nayee basi kuna sehemu ulikuwa unamuoneaa wivu....na kama wewe ni mwanaumee jichunguzee vizurii mwenendo wako....Wanaume wengi wa ukweli hawako hivoo....ila kama ni mtoto wa kikee ni sawaa....Jichunguzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…