Je kwa Tanzania hali ikoje? kwamba inaweza kutokea watanzania kuchochewa kufanya machafuko?Haya mambo huwa ni automatically kulingana na hisia za wananchi hasa inapi chagizwa na vitendo vya watawala au wataka madalaka, lakini kama kuna mfumo mzuri wa free& imbalance ambapo ni matokeo ya demokrasia hakutakuwa na kundi kubwa la kumsikiliza mchochexi yeyote.
Pia wananchi wanaoaswa kuwa na elimu ya kukitambua na kujiamini huku wakisimamia misimamo yao chanya.
Muammar Gaddaf alistahili yale yaliyo mkuta, na kila mtu anakula chumo la mikono yake na Qiyama kila nafsi itahesabiwa na kupewa haki ha haitadhulumiwa nafsi yoyote hata kiwango cha chembe ya Khardali.-Libya ile nchi iliyokuwa mfano kwa nchi za Afrika.
-Libya iliwahi kuwa nchi tajiri zaidi barani Afrika.
-Libya nchi iliyokuwa ikitegemewa katika bajeti ya AU.
-Libya ndo nchi pekee iliyowahi kuwekeza ndani ya bara la Afrika zaidi ya dola billioni 200 katika kipindi kifupi.
-Libya ndio nchi ambayo ilikuwa kimbilio la watu weusi wa nchi za Afrika Magharibi hasa WaNigeria katika harakati za kutafuta unafuu wa maisha.
-Libya ndio nchi iliyosaidia nchi za Afrika kupunguza gharama za kupiga simu, kutuma sms, na intaneti . Libya ilifanya hivyo kwa kununua satellite kwa niaba ya bara zima la Afrika kabla hapo nchi za Afrika zilikuwa nchi za ulaya mamilioni ya Euro kila mwaka.
Lakini toka kupinduliwa kwa utawala wa Muammar Gadaffi mwaka 2011 nchi ya Libya imebaki kuwa uwanja wa mapambano, soko la biashara haramu, huba ya vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu.
Mpaka sasa June 2020 , Ndani ya ardhi ya Libya kuna majeshi ya Saudi Arabia, UAE, Misri , Qatar , Urusi na Uturuki kila mmoja akipambana kuweka kiongozi atakayeendana na maslahi yao.
Hili ni funzo kwa nchi za KiAfrika kuwa makini sana na ushauri wanaopokea kutoka nje, miaka 10 tu iliyopita wananchi wa Libya waliishi kama wafalme.
1)Maji bure 2)Umeme bure 3) Bei ya Mafuta ilikuwa sawa na tshs 200 kwa litre 4)Hamna kodi ya nyumba 5)Elimu bure hadi chuo kikuu na kwa wale waliopendelea kusoma nje pia walilipiwa na serikali 6) Serikali ya Libya ilitoa takribani $ 60,000 karibu milioni 150 kwa kila wanandoa wapya ikiwa ni pesa ya kuanzia maisha.
7) Mwanamke aliyejifungua alipewa dola 5,000
8) Pia endapo mlibya atapata tatizo la kiafya ambalo haliwezi tibika nchini kwake alilipiwa gharama zote za matibabu nje ya nchi na Serikali.
9) Libya ndo nchi iliyokuwa na reserve Kubwa barani Afrika na haikuwa na deni la hata senti. Reserve ya Libya ilikuwa Dola Bilioni 150. N.K.
Libya kabla ya kifo cha Gadaffi .....
View attachment 1486154View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158
Libya baada ya Gadaffi
View attachment 1486160View attachment 1486161View attachment 1486162View attachment 1486163View attachment 1486164View attachment 1486165View attachment 1486166View attachment 1486167View attachment 1486168
Swali halijajibiwa hili.Yote haya naayajua kama ni ceremonial leader unahisi yeye pekee ndio anasifa zote zakua hapo alipo zaidi ya miaka 40 kuliko raia wote wa UK zaidi ya 50M ?!
Swali langu hawataki kulijibu wanasahau hata ISRAEL kuna rais ceremonial leader na kuna waziri MKUU ambae ndio anaisimamia nakuiendesha nchi ila Kunakua nauchaguzi wakumpata rais kila baada yamiaka fulani ila ukiwauliza kuhusu MALKIA wanakupiga chengaSwali halijajibiwa hili.
Maana kama ujerumani ceremonial leader ni rais, na uchaguzi unafanyika kila baada ya miaka mitano,
Wagombea kibao wa binafsi na wavyama wanashiriki kugombania urais, Mfano mwaka 2017 wagombea walikuwa watano.
Mwaka 1960 northern ireland ilitaka kujitenga kwenye ufalme hasa wakatoriki ambao ndio wengi, baadae jeshi la uingereza lililo chini ya malkia likapelekwa na vita vikaisha 1998.
Sasa kama hali kama hiyo ufalme una tofauti gani na gadafi.
Uingereza ni Monarchy, haiongozwi na rais bali Mfalme au Malkia ambaye ndiye Monarch.Swali halijajibiwa hili.
Maana kama ujerumani ceremonial leader ni rais, na uchaguzi unafanyika kila baada ya miaka mitano,
Wagombea kibao wa binafsi na wavyama wanashiriki kugombania urais, Mfano mwaka 2017 wagombea walikuwa watano.
Mwaka 1960 northern ireland ilitaka kujitenga kwenye ufalme hasa wakatoriki ambao ndio wengi, baadae jeshi la uingereza lililo chini ya malkia likapelekwa na vita vikaisha 1998.
Sasa kama hali kama hiyo ufalme una tofauti gani na gadafi.
Who is a dictator? What is a dictator?Swali langu hawataki kulijibu wanasahau hata ISRAEL kuna rais ceremonial leader na kuna waziri MKUU ambae ndio anaisimamia nakuiendesha nchi ila Kunakua nauchaguzi wakumpata rais kila baada yamiaka fulani ila ukiwauliza kuhusu MALKIA wanakupiga chenga
MALKIA ni DIKTEITA tu Kama hao MADIKTEITA wengine.....
100%Una uhakika?
Arab League wametulia kimyaaa-Libya ile nchi iliyokuwa mfano kwa nchi za Afrika.
-Libya iliwahi kuwa nchi tajiri zaidi barani Afrika.
-Libya nchi iliyokuwa ikitegemewa katika bajeti ya AU.
-Libya ndo nchi pekee iliyowahi kuwekeza ndani ya bara la Afrika zaidi ya dola billioni 200 katika kipindi kifupi.
-Libya ndio nchi ambayo ilikuwa kimbilio la watu weusi wa nchi za Afrika Magharibi hasa WaNigeria katika harakati za kutafuta unafuu wa maisha.
-Libya ndio nchi iliyosaidia nchi za Afrika kupunguza gharama za kupiga simu, kutuma sms, na intaneti . Libya ilifanya hivyo kwa kununua satellite kwa niaba ya bara zima la Afrika kabla hapo nchi za Afrika zilikuwa nchi za ulaya mamilioni ya Euro kila mwaka.
Lakini toka kupinduliwa kwa utawala wa Muammar Gadaffi mwaka 2011 nchi ya Libya imebaki kuwa uwanja wa mapambano, soko la biashara haramu, huba ya vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu.
Mpaka sasa June 2020 , Ndani ya ardhi ya Libya kuna majeshi ya Saudi Arabia, UAE, Misri , Qatar , Urusi na Uturuki kila mmoja akipambana kuweka kiongozi atakayeendana na maslahi yao.
Hili ni funzo kwa nchi za KiAfrika kuwa makini sana na ushauri wanaopokea kutoka nje, miaka 10 tu iliyopita wananchi wa Libya waliishi kama wafalme.
1)Maji bure 2)Umeme bure 3) Bei ya Mafuta ilikuwa sawa na tshs 200 kwa litre 4)Hamna kodi ya nyumba 5)Elimu bure hadi chuo kikuu na kwa wale waliopendelea kusoma nje pia walilipiwa na serikali 6) Serikali ya Libya ilitoa takribani $ 60,000 karibu milioni 150 kwa kila wanandoa wapya ikiwa ni pesa ya kuanzia maisha.
7) Mwanamke aliyejifungua alipewa dola 5,000
8) Pia endapo mlibya atapata tatizo la kiafya ambalo haliwezi tibika nchini kwake alilipiwa gharama zote za matibabu nje ya nchi na Serikali.
9) Libya ndo nchi iliyokuwa na reserve Kubwa barani Afrika na haikuwa na deni la hata senti. Reserve ya Libya ilikuwa Dola Bilioni 150. N.K.
Libya kabla ya kifo cha Gadaffi .....
View attachment 1486154View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158
Libya baada ya Gadaffi
View attachment 1486160View attachment 1486161View attachment 1486162View attachment 1486163View attachment 1486164View attachment 1486165View attachment 1486166View attachment 1486167View attachment 1486168
Tanzania chini ya CCM ni tofauti na ilivyokuwaWa Tz bora tuendelee kunekana mazezeta na CCM yetu potelea mbal
Nipo nairudia hapa leo, kitambo sijairudi 👇Umenikumbusha ile movie 13 Hours:The secret soldiers of Benghazi
UK napo ni afrika?Inauma lakini tatizo kubwa la viongozi wa ki Africa na hata za ki Arab ni kung'ang'ania madarakani kwa njia moja ama nyingine.
Huwezi kuwatawala watu wenye akili na ufahamu kwa zaidi ya miaka 42 na bado ukataka mwanao akurithi !!. Watakufanyia fitna tu.