Hatimaye Mahari yangu yote imerudishwa

Kijaaa

Member
Joined
Nov 19, 2017
Posts
26
Reaction score
37
Habarini ndugu zangu , Kuna siku niliomba ushauri kuhusu muvunjika kwa uchumba na jinsi ya kurudishiwa mahali na baadhi ya zawadi nilizowahi kuzitoa ,

Nashukuruni kwa ushauri wenu kwa kila mmoja alivyonishauri na hatimaye Mahari yangu yote imerudishwa na Namshukuru Mungu kwa hilo na Mungu awabariki kwa ushauri wenu .
 
Mkuu vip 0748001009
Ulirudishiwajwe mahari.??? Ni njia zipi za kupitia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…