John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Baada ya kuwa na matokeo mabaya hivi karibuni ikiwemo kufungwa na kupata sare, Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton katika mchezo wa Premier League.
Mchezo huo uliochezwa usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2022, mabao yamefungwa na Cristiano Ronaldo ambaye alikuwa ana mechi zaidi ya sita hajafunga bao na Bruno Fernandez.
Mchezo huo uliochezwa usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2022, mabao yamefungwa na Cristiano Ronaldo ambaye alikuwa ana mechi zaidi ya sita hajafunga bao na Bruno Fernandez.