John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Mchezo huo, ukanikumbusha yale malalamiko ya kuongeza muda kabla ya kumalizika kwa mchezo.Baada ya kuwa na matokeo mabaya hivi karibuni ikiwemo kufungwa na kupata sare, Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton katika mchezo wa Premier League.
Mchezo huo uliochezwa usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2022, mabao yamefungwa na Cristiano Ronaldo ambaye alikuwa ana mechi zaidi ya sita hajafunga bao na Bruno Fernandez.
View attachment 2120717
Mkuu uzi wa man u huujui? Matumizi yasiyofaa ya jfBaada ya kuwa na matokeo mabaya hivi karibuni ikiwemo kufungwa na kupata sare, Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton katika mchezo wa Premier League.
Mchezo huo uliochezwa usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2022, mabao yamefungwa na Cristiano Ronaldo ambaye alikuwa ana mechi zaidi ya sita hajafunga bao na Bruno Fernandez.
View attachment 2120717