watanzania tuna shida kubwa sana na hizi media pia zinatupeleka kubaya maana swala la watu la ndani linakuwa habari kabisa kwenye media ? Hii inapelekea kuendelea kufuatiliana maaisha ya kila mtu amepanda ameshuka na vingine,jamani tubadilike kila mtu afanye yake na hawa ambao wanahusika kufungia magazeti wasiangalie vyama ktk kutenda kazi zao.Kuna magazeti yanaharibu kizazi chetu kabisa kwa siku za usoni yaani mara fulani tayri imenaza,mara mzee kafanyiwa kitu kibaya,mara ndoa ya fulani matatani,mara fulani kaweka hadharani mchumba wake mpya ,mara zijue sababu za fulani kufa nknk ni hatari hizi habari