Hatimaye matapeli umehamia Whatsapp

Hatimaye matapeli umehamia Whatsapp

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Nimekaa nasoma JF, Mara text hizo kwa wasapu yangu angalia mwenyewe hizi screenshot
az_recorder_20240420_123646.jpg
az_recorder_20240420_123659.jpg
az_recorder_20240420_123716.jpg
az_recorder_20240420_123729.jpg
az_recorder_20240420_123754.jpg
az_recorder_20240420_123744.jpg
az_recorder_20240420_123744.jpg
az_recorder_20240420_123754.jpg
az_recorder_20240420_123803.jpg
az_recorder_20240420_123814.jpg
 
Kuna limoja lilinicheki pia, nikamwambia "fuvk you" nikamsindikiza na block,

Wewe umemu-entertain sana hukua na shughuli za kufanya au ulikua unaingia na kutoka unasikilizia
 
Ukiwajibu na ukawatumia screenshot za hizo hotel wanakupa kama elf 5 kisha wanatoa task kama 3 au 5 hivi unakuwa umekusanya kama elfu 30 hiv kisha wanakwambia uchague sijui maherufi A, B, C hadi D kila moja ina bei yake kisha wanakutumia number ya kuweke hiyo hela then wakutumie ile 30 yako na bonas yaani hela unayopaswa kuweka inaweza kuwa laki 1 au 2 kisha wakupe la 1 na nus au 2 na nusu jumlisha ile 30 yako. Kwa wajanja wakifika hapo wanawakataa.
 
Back
Top Bottom