Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Hongera mkuuBaada ya muda mrefu kuteseka na daladala hatimaye Nimeagiza chuma , chombo ipo kwa bahari unakuja inavuka bahari kutoka Japan
View attachment 1626450View attachment 1626451
Nimenunua manual ili kuepuka kuazimwa ovyo .
Chombo iyo 14m lazima niwatembezee moto
Kataka "mpya", ushuru mkubwa. Not the greatest of decision in my opinion for that price, but it's his dream car as he said.14 milioni Kwa Carina ya 1999?
Why??
Yako ni ya mwaka gani ?1999?????? Ni ya zamani kuliko. Ni sawa kununua zile simu za Siemens za zamani wakati watu wana dunda na Iphone12??
Hii hapa mbona ya zamani.. ? Yako ni ya mwaka gani1999?? [emoji3][emoji3][emoji3]
Hii mbona ya kitambo sanaa... zaidi ya mshikaji wa carina ? ππ.. uzamani sana sio deal jamaa katimiza ndoto kama atae timiza kwa huyu mnyama chiniKwa machizi boti lazma wataazima chombo tu hasa wale wazee wa 3 pedals. πππ!!!
Kwamie binafsi ntaangalia tu chombo ya fundi maana sina ujanja wa kukoroga stiki. Nmeshazoea kuendeshea herufi pendwa (D) sio kuendesha kwa namba.
Hii mbona ya kitambo sanaa... zaidi ya mshikaji wa carina ? [emoji2][emoji2].. uzamani sana sio deal jamaa katimiza ndoto kama atae timiza kwa huyu mnyama chini
View attachment 1626690
Hongera mzee.. kitu imesimama sanaaaBaada ya muda mrefu kuteseka na daladala hatimaye Nimeagiza chuma , chombo ipo kwa bahari unakuja inavuka bahari kutoka Japan
View attachment 1626450View attachment 1626451
Nimenunua manual ili kuepuka kuazimwa ovyo .
Chombo iyo 14m lazima niwatembezee moto