mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Uzuri shughuli yetu mnaijua, Kwa sasa mtaendelea kuwa wanyonge wetu Kwa miaka mingi ijayo[emoji1][emoji1]Povuuuuuuuu jingiii, suguliaa pumbu hizo sio zinababukaaa km andazi la mama hassan pale Kibo. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mechi za kirafiki ati.Wanajukumu gani mbele yao?
Ihefu wanawasubiri kwa hamuNilikuwa wataongeza week kumbe siku moja lzm Simba akalie
Mkuu tuliwaletea fainali za CAF hapa 1993, timu pekee ya Tanzania kuwahi kufanya hivyo. Exactly miaka 30 baadae tunawaletea tena fainali ya CAF hapa ila safari hii tunabeba ndoo. Kumbuka maneno haya.
Mkuu tuliwaletea fainali za CAF hapa 1993, timu pekee ya Tanzania kuwahi kufanya hivyo. Exactly miaka 30 baadae tunawaletea tena fainali ya CAF hapa ila safari hii tunabeba ndoo. Kumbuka maneno haya.Wanajukumu gani mbele yao?
Angalia usije kujikojolea kwenye iyo ndoto unayoota[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu tuliwaletea fainali za CAF hapa 1993, timu pekee ya Tanzania kuwahi kufanya hivyo. Exactly miaka 30 baadae tunawaletea tena fainali ya CAF hapa ila safari hii tunabeba ndoo. Kumbuka maneno haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio shida zetuuu. Na hatujari wala nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Uzuri shughuli yetu mnaijua, Kwa sasa mtaendelea kuwa wanyonge wetu Kwa miaka mingi ijayo[emoji1][emoji1]
💯TTF wanaendeshwa na simba na yanga
Wee tenaaa shougaaaa akee, usiumie kwa hili? Nlitakaa nshangaee.Wanaahirisha mechi kwa sababu ya umbumbumbu wa timu moja tu, inayoenda kufanya pre season nje ya nchi, katikati ya msimu!!
Friendly match huko UAEWanajukumu gani mbele yao?
Mkiulizwa sababu hasa ya kuwapeleka huko Dubai, hamuwezi kuwa nayo! Zaidi tu ya kupoteza muda. Kikosi kimejaa wachezaji wazee!Kama ni kweli basi naipongeza TFF kwa kuonyesha uzalendo, nadhani hata Mbeya watakuwa wameridhia. Simba wana jukumu zito la kitaifa mbele yao, ikifanikiwa Simba na taifa limefanikiwa.
Hilo mbona linajulikana mkuu.Simba ni kubwa kuliko Yanga, ushajioneaaa mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kule tuna makocha wasiopungua 5 wanakinoa kikosi. Utasemaje hakuna kinachofanyika? Yanga huwa mnajitutumua ili muonekane na nyie mmo ila kubalini tu Simba ni level nyingine kabisa. Mnahitaji ushahidi gani tena?Mkiulizwa sababu hasa ya kuwapeleka huko Dubai, hamiwezi kiwa nayo! Zaidi tu ya kupoteza muda. Kikosi kimejaa wachezaji wazee!
Hata muwapeleke Urusi kwa Putin, bado wakirudi wataendelea tu kuwa wale wale.
Mwisho wa msimu mtabadilisha tu kocha. Maana huu ndiyo utaratibu wenu kwa miaka yote hii mitatu.Mkuu kule tuna makocha wasiopungua 5 wanakinoa kikosi. Utasemaje hakuna kinachofanyika? Yanga huwa mnajitutumua ili muonekane na nyie mmo ila kubalini tu Simba ni level nyingine kabisa. Mnahitaji ushahidi gani tena?
Mmejitahidi sana kudominate ligi kwa huu mwaka huu mmoja na tunawapongeza ila hamko mbali na sisi kama mnavyodhani. Mkipoteza game mbili tu mfululizo tunakuwa sawa point, tena sisi tunawazidi magoli. Game mbili tu!
Na ratiba walikuwa nayo kabla, kwa nini wasijipange kwa kuifuata?Wanaahirisha mechi kwa sababu ya umbumbumbu wa timu moja tu, inayoenda kufanya pre season nje ya nchi, katikati ya msimu!!
Ina umuhimu gani hiyo mechi hadi ivuruge ratiba ya ligi? Uliona nchi gani nyingine zaidi ya Tanzania ambapo inaharibu ratiba ya ligi kuu kisa tu kuna timu ina mechi ya kirafiki wakati kuna timu ilikuwa na mechi ya kimataifa Tunisia lakini wakanyimwa kusogezwa kwa mechiFriendly match huko UAE
Dalili ya taasisi imara ni kutoogopa kuchukua maamuzi magumu pale kunapokuwa na tatizo. Hayo ya mbele hakuna anayeyajua.Mwisho wa msimu mtabadilisha tu kocha. Maana huu ndiyo utaratibu wenu kwa miaka yote hii mitatu.
TFF knows 🤣🤣🤣 #rubbishIna umuhimu gani hiyo mechi hadi ivuruge ratiba ya ligi? Uliona nchi gani nyingine zaidi ya Tanzania ambapo inaharibu ratiba ya ligi kuu kisa tu kuna timu ina mechi ya kirafiki wakati kuna timu ilikuwa na mechi ya kimataifa Tunisia lakini wakanyimwa kusogezwa kwa mechi