ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Yajayo yanafurahisha,
Lapulga amekubali kupunguza mshahara wake kwa 50% na kuamua kubakia ktk klabu yake alioanza kuitumikia tangu akiwa na umri wa miaka 13.
Griezman anarudi Atletico Madrid wao wamemtoa kiungo Saul Niguez kwa kubadilishana na barca kama sharti moja la makubaliano.
Lapulga amekubali kupunguza mshahara wake kwa 50% na kuamua kubakia ktk klabu yake alioanza kuitumikia tangu akiwa na umri wa miaka 13.
Griezman anarudi Atletico Madrid wao wamemtoa kiungo Saul Niguez kwa kubadilishana na barca kama sharti moja la makubaliano.