Hatimaye miss Tanzania ajinyakulia gari ya aina yake

Hahahaha nilivyosoma headng tu nkaanza kucheka
 
Hawa Dada zetu si bora wakaimbe tu tarabu wajitafutie ridhiki maisha yaendelee, hilo ni bango linalotembea au ni gari kwa kuwa ina magurudumu ma4!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…