Hatimaye mvua yazima moto uliokuwa unateketeza Msitu wa Mlima Kilimanjaro

Hatimaye mvua yazima moto uliokuwa unateketeza Msitu wa Mlima Kilimanjaro

Nature

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2014
Posts
830
Reaction score
2,241
Moto mkubwa uliokuwa unawaka na kuteketeza Msitu na uoto wa asili unaozunguka mlima Kilimanjaro umezimika baada ya mvua kunyesha Usiku wa kuamkia leo Tar 1/11/2022.

Takribani wiki mbili sasa jitihada mbalimbali zilikuwa zinaendelea kuuzima moto huo bila mafanikio, mpaka mvua ziliponyesha usiku wa leo na kufanikiwa kuuzima moto huo.

Sifa na Shukurani zimrudie Mungu.

 

Attachments

  • 255764930023_status_9938592e04054b629957fec5cf7e4732.jpg
    255764930023_status_9938592e04054b629957fec5cf7e4732.jpg
    169.4 KB · Views: 3
Sayansi ya Misitu ukanda wa milima mirefu

Uchunguzi wa kina uendelee sababu ya moto na ulinzi shirikishi misitu kuimarishwa
 
Wazee wa mila wamefanya yao.. Wanapaswa kushukuriwa na kupongezwa pia
Mshana acha hizo.
Yaani wazee hawa wanaolalamikia ukame kila siku wapate wapi uwezo wa kuleta mvua!
Ukichungiza utaona kwamba;.wagimba wengi huwa wana.mshipa wa ngiri.
Wakisikia unabana ndipo huwaahidi watu mvua.
Yaani duniani hapa ni full maujanja vinginevyo hupati msosi.
 
Amen.
1. Hatuna jeshi imara la zima moto.
2. Hatuna mikakati endelevu kukabiliana na majanga.
3. Hifadhi ya taifa Tanapa ni bure kabisa kwa tukio kama hili hujirudia mara nyingi.
4. Hatuna waziri wa utalii na maliasili kwani hata hajasikika yupo pale kula asali tu
 
Kuna mganga wa kienyeji/mzee wa mila atapiga hela hapo kwa kujifanya kaleta mvua.

Serikali kuweni makini, ni MUNGU ndio mleta mvua!
 
Mshana acha hizo.
Yaani wazee hawa wanaolalamikia ukame kila siku wapate wapi uwezo wa kuleta mvua!
Ukichungiza utaona kwamba;.wagimba wengi huwa wana.mshipa wa ngiri.
Wakisikia unabana ndipo huwaahidi watu mvua.
Yaani duniani hapa ni full maujanja vinginevyo hupati msosi.
Ukame sio dharura na ukame sio moto Mchokoo
 
Back
Top Bottom