Mshana acha hizo.Wazee wa mila wamefanya yao.. Wanapaswa kushukuriwa na kupongezwa pia
Aaqj wapi unaabudu ushirikina sana MshanaWazee wa mila wamefanya yao.. Wanapaswa kushukuriwa na kupongezwa pia
Ukame sio dharura na ukame sio moto MchokooMshana acha hizo.
Yaani wazee hawa wanaolalamikia ukame kila siku wapate wapi uwezo wa kuleta mvua!
Ukichungiza utaona kwamba;.wagimba wengi huwa wana.mshipa wa ngiri.
Wakisikia unabana ndipo huwaahidi watu mvua.
Yaani duniani hapa ni full maujanja vinginevyo hupati msosi.
Hela za kufanyia sherehee za ovyoo ndo zipo...Trillions zote zinazoingia hapo wameshindwa kununua ka helikopta kakuzimia moto
View attachment 2404145View attachment 2404146