Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pole Kijana. Mungu akupe Ujasiri wa kuvumilia. Maisha kuna Ups na Downs.View attachment 1472098
Hii ni baada ya kukalishwa selo kwa mwezi mmoja , ameachiwa leo jumatatu . Alikamatwa kwa tuhuma za kupiga picha gari la DG wa TISS , lakini baadaye akashitakiwa kwa kesi ya kuumba ya kusambaza picha za ngono .
Shukrani ziwaendee wanasheria wa Chadema
kama uko chadema utapewa kesi ila ukiwa ccm hupewiHivi mfano mm nkapiga picha nkaisambaza, watanikamata na kunishtaki kwa kosa gani maana sina kosa lilote la kusingizia. ππ
CDM dam dam, chama la baba na mama.βπΎβπΎβπΎβπΎβπΎkama uko chadema utapewa kesi ila ukiwa ccm hupewi
View attachment 1472098
Hii ni baada ya kukalishwa selo kwa mwezi mmoja , ameachiwa leo jumatatu . Alikamatwa kwa tuhuma za kupiga picha gari la DG wa TISS , lakini baadaye akashitakiwa kwa kesi ya kuumba ya kusambaza picha za ngono .
Shukrani ziwaendee wanasheria wa Chadema
CDM dam dam, chama la baba na mama.[emoji1479][emoji1479][emoji1479][emoji1479][emoji1479]
βπΎβπΎAmina Amina Amina mkuu
Hawaja mnaniliu kweliView attachment 1472098
Hii ni baada ya kukalishwa selo kwa mwezi mmoja , ameachiwa leo jumatatu . Alikamatwa kwa tuhuma za kupiga picha gari la DG wa TISS , lakini baadaye akashitakiwa kwa kesi ya kuumba ya kusambaza picha za ngono .
Shukrani ziwaendee wanasheria wa Chadema