Hatimaye na mimi mzuka ukanishika

DiasporaUSA

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
23,382
Reaction score
29,639
Yaani Nimeenda Kuchota maji kisimani nikakuta wamama kibao wamejazana kisimani na ndoo zao kibao Alaf mimi nina haraka zangu
Ikabidi nitumie plan....Nikawaambia Kuna Ng'ombe Amegongwa gari pale barabarani kina mama wenzenu wanagawana nyama
Wote Wakatoka mbio kuelekea huko barabaran sasa badala mimi nichote maji cha ajabu eti na mimi nikakimbia kuwafata maana jinsi walivyokimbia mpaka na mimi nikazani Kuna Nyama Kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SASA HII NI BANGI AU UNGA WA SEMBE.
 
Nina mashaka ulitoroka mirembe
 
Sio Bangi Kuna Mchicha Pori Unaota Kipindi Cha Ukame Ukiula Ule Lahaulaaa!Yako Ngumu.
 
Aisee huo si mzuka wa kawaida mkuu ni maajabu ya mwanzo wa mwaka.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…