DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Tuache yote jina lako limenikosha[emoji4] [emoji4]Kwa hiyo ulivyoona ile misambwanda ndani ya khanga na wewe ukadatajee?
HahahaYaani Nimeenda Kuchota maji kisimani nikakuta wamama kibao wamejazana kisimani na ndoo zao kibao Alaf mimi nina haraka zangu
Ikabidi nitumie plan....Nikawaambia Kuna Ng'ombe Amegongwa gari pale barabarani kina mama wenzenu wanagawana nyama
Wote Wakatoka mbio kuelekea huko barabaran sasa badala mimi nichote maji cha ajabu eti na mimi nikakimbia kuwafata maana jinsi walivyokimbia mpaka na mimi nikazani Kuna Nyama Kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SASA HII NI BANGI AU UNGA WA SEMBE.