Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nikajua ni Lovelovie . Dah, nilishaanza kufurahiaUlikuwa wapi mbona ume chelewa??, I looked for you kila Kona ila siku ambulia kitu!!?
I even asked majirani ila nao hawakuwa na jibu la kunipa, zaidi ya pole (damn).
Sorry about that day, nawe uli zidi ujue, sometimes stick to my rules kwani mi ndo bread chaser.
You know we are cool together, shida uli dhani kuwa independent ni rahisi ehh!!
No one cares for you than I do, and najua una jua hilo.
siku chache tu, ila tayari Usha Anza kuumwa, hope Utakuwa ume jifunza.
Haya ume Rudi mwenyewe, utulie Sasa .
I mean no malice to nobody
View attachment 2958087
Sio kaka, huyu mwenyewe kabisaHuyu sio shume?
I mean no malice to nobodyDah! Mkuu we mwanaume ujue😔
Hamna Kaka, Yuko poa tu.Ashajazwa mimba huyo miezi mitatu atakuwa na watoto.
Safari hii ata tulia, Natumai kaji funza.Vina muda basi hiyo Malaya yako lazima ile kona
Appreciation tu mkuu, mi ni mtu ambae nakuwa so attached na vitu, mtu au hata mnyama.Dah! Mkuu we mwanaume ujue😔
Usha Anza miyeyusho yako 😁Itakuwa kuna namna huyu paka anakuridhisha mana sio kwa shairi hilo
Kuwa attached na mnyama ni mambo ya kidada ??.Hayo ni mambo ya kidada kabisa kina Wema Sepetu