Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Asilimia 50% ya wanawake (bila kujali muonekano wao ni wa kistaarabu au kichangudoa) wanaliwa tigo au waliwahi kuliwa tigo. Kiukweli huo mchezo unakuwa kwa kasi sana hasa kwa hawa teenagers.
 
Hongera kwa maamuzi hayo. Achana na wanaokukebehi. At least umeacha before madhara.
 
kauli yangu haijalenga kuhamasisha ,ila kuwahimiza wale ambao wameanza kufanya na wanatamani kuacha bado ni muda sahihi kwao,kwani wakiendelea kufanya hiki kitu kwa muda mrefu madhara yatakua makubwa ukilinganisha na wakiacha sasa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hii comment ulivyoiweka utadhani unanishauri mimi chief ahahahah.
Yan hapo mtu anaweza hisi mimi ndio mtoaji [emoji38][emoji38]
Hahaaaaa....samahani kaka sema nimeongozwa na hisia aisee....naomba niifute kwa heshima yako
 
Ina maana hadi sasa wakat una ripoti hapa tyr hauna marinda?? Pole sana uoni kuleta uzi wako hapa jukwaani ni kujaribu ku-invite watu kwenye PM yako??

Sijaku criticize vibaya bali ni maoni tu
Watu jf wana vituko sana kamripoti kwenye madawati ya jinsia
 
Huyo jamaa mbingu atabaki kuisikia tu.

Moja Kati ya dhambi zinazomchukiza Mungu zaidi Ni kufanya mapenzi kinyume na maumbile( gay & lesbianism).
Huu uchafu humsababishia mtu laana kubwa Sana kudadeki.
 
Mkuu unamgunduaje demu anayetoa jicho. Mimi mwenyewe sijui mkuu.
Tundu linakuwa wazi tu mkuu na hta ukikosea kwa bahat mbaya haiwez kupita na kwanza atashtuka na kuruka kabisa ila ukiona ngoma imepita yote jua mzoefu huyo na tundu lazima liwe waz kdg
 
Mbona umekazana sana kulaumu upande mmoja kwan wanaume huo upuuz wanafany na kina nan ??
Na vipi hawa wadada wanaohitaji wenyew ??
Na vipi wadad wanaipeleka wenyew mlango wa pili mbn huwazungumzii ??
Au mtu akishawishiwa basi ni lazm akubali ? Mbn wengne wanakataa
 
Bora hata ulivo acha kipenzi ni dhambi kubwa sana Mungu akusamehe kama umedhamiria kuacha hakuna jambo Mungu mja wake akitubu na kutopokea toba hiyo ila acha ukweli. Utapata tu mtu sahihi wakukuoa kwa uamuzi wako. Yaani ungekufa nayo hiyo dhambi siku unayozikwa Moto ungekuhusu mojakwamoja.
 
Huyo tayali ameshafanywa nyuma anakuenjoy tu hapo...ameshakua mzoefu na usikute hata alikua anafanywa na mjomba ake ndo mana hana aibu.....ongea nae mfundishe kuhusu Mungu..... pia jiepushe asije fia mikonon mwako. Wajinga ndio waliwao. mweusi asili .... nmesahau kitu "Ukimfanya utafanywa na hata uzao wako unaweza fanywa" hii ni laan bro na ulichopanda ndicho utachovuna
 
Nikupitie twende kanisani mkuu?[emoji2957]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…