Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Nahisi unaona aibu kuongea, tunajifunza tu hapa. Wengine wanapenda hiyo michezo wakati wapo hawapendi. Ila kutomaswa/teasing kwa kidole wanapendaaa🤣
Nicheke mie😆😆😆ngoja tulijenge taifa kwanza nitarudi badae kutoa maoni
 
Nakuhakikishia huyo jamaa ni shoga ulikuwa hujui tu.
Btw pole sana.
Ah dunia inaenda wapi?
Jizi nilikiwa nimekaa na bar . Vijana wa mtaani nawwfahamu ila sikuwa nimekaa nao meza moja. Sipendagi kukaa nao. Niliwasikia wanasimuliana jinsi mmoja alivyofanya mapenzi ya jinsia moja na kijana mmoja usiku wa kuamkka siku ile ..... huyo kijana namfahamu mana nae ni wa mtaani ninapoishi.... nguvu ziliniishia lwakweli daj
 
Piga pass ya upendo wewe watu tukafunge kama halland
 
Ila ulifanya kosa kubwa. Ulivyogundua anapenda hizo pilika ulitakiwa uachane naye mapema. Pole sana ndio maswahibu ya dunia yetu iliyo ukingoni kuharibiwa na ALIYEIUMBA kutokana na uchafu mwingi unaoendelea MBELE ZA USO WAKE.
 
Nitafute tuyajenge achana na wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…