Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Kwenye kuhitimisha hoja hapo ndo sijakuelewa, kwamba ili mtaro ushindwe kuzui maji lazima uwe umefukuliwa kwa kipindi cha miaka 5, hii comparison umeipataje? wasiwasi wangu ni kwamba kwa kuwa tayari una bondi na kusukumwa utumbo mpana usipokuwa makini huyo mwingine utakayempata naye utamshawishi akusukume.
Muombe Mungu pekee ndo anayeweza kubadilisha watu.
 
Ahahahahahah!
 
Mume gani sahihi akute huna rinda? ,mtu ame spend 20's yake yote uko na wanaume wengine,amefika ukingoni sexual Market value ishashuka unasema atapata mme bora?

[emoji706][emoji23]
Na siku zote Mwanamke sexual market value yake ikishashuka na akili zinamrudia hapohapo!!! Mungu ni wa ajabu sana!!!
 
Na siku zote Mwanamke sexual market value yake ikishashuka na akili zinamrudia hapohapo!!! Mungu ni wa ajabu sana!!!
Sasa ndo hapo nasisi hatukubali,umeshachuja ndio ujitambue [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…