AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
yani usiposhinda ndo watakua waongo? HahahaKama kichwa kisemavyo, leo nimeamua kujaribu kuwachangia watu wa biko Tsh buku.
So hapa nangoja, kama si nyumba hizo zinazotolewa nos, naweza kushinda milioni kadhaa.
Naomba mniombee ili nifanikiwe.
Nikishinda nitaleta mrejesho hapa, na kama ni waongo Pia nitaleta mrejesho
Kama kichwa kisemavyo, leo nimeamua kujaribu kuwachangia watu wa biko Tsh buku.
So hapa nangoja, kama si nyumba hizo zinazotolewa nos, naweza kushinda milioni kadhaa.
Naomba mniombee ili nifanikiwe.
Nikishinda nitaleta mrejesho hapa, na kama ni waongo Pia nitaleta mrejesho
hahahhahahaaaPale AKILI TATU inapogeuka kuwa AKILI SIFURI!
Yes wameniambia Niko nafasi za juu kushindayani usiposhinda ndo watakua waongo? Hahaha
Nimeamini Ndio maana nimechezaNahisi kama huna imani vile, hivyo kushinda kwako itakuwa ngumu. Jaribu kuweka imani, utashinda.
Wait nirudishe mujibu nimeshinda mamilioni Ndio Utajua nini namaanishaPale AKILI TATU inapogeuka kuwa AKILI SIFURI!
Na Nikishinda je nikatubu au nishukuruFanya haraka ukatubu hiyo dhambi.
Kum. 18 : 10 "Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye KUBASHIRI, wala msihiri".
Ndio naungoja hapaMshiko Nje nje.
Toba unatakiwa uifanye sasa, kwa maana kesho yako huijui.Na Nikishinda je nikatubu au nishukuru
Endelea kungoja mkuu ukisikia "SHEMEEEEJIIIIIIIII" jua IMOOOOOOOOOOOOOOO.Ndio naungoja hapa
Fedha ni mambo ya mwanadamu. Mungu hakutengeneza hili "pepo fedha"Toba unatakiwa uifanye sasa, kwa maana kesho yako huijui.
Ukishinda ukichukua hiyo fedha utakua umefanya dhambi nyingine kwa kuwa ni fedha haramu.
Nb:-(ukishinda waambie wawasiliane na mimi, ninapajua sehemu ya kuziteketeza hizo fedha haramu)
Wale ni matapeli tuuuu!!Wait nirudishe mujibu nimeshinda mamilioni Ndio Utajua nini namaanisha
Akyanani aisee na jinsi hali ilivyokuwa ngumu.....Toba unatakiwa uifanye sasa, kwa maana kesho yako huijui.
Ukishinda ukichukua hiyo fedha utakua umefanya dhambi nyingine kwa kuwa ni fedha haramu.
Nb:-(ukishinda waambie wawasiliane na mimi, ninapajua sehemu ya kuziteketeza hizo fedha haramu)
Umejithibitishia kwa njia ganiWale ni matapeli tuuuu!!
πππEndelea kungoja mkuu ukisikia "SHEMEEEEJIIIIIIIII" jua IMOOOOOOOOOOOOOOO.