my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Hahaha!
Asante. Mpesa ndo nn tena?Ifurahishe na Mpesa yangu mkuu
Hongera tho kila la kheri in sha Allah
Nipakuliwe kwani mm chakula?Haya jiandae kupakuliwa kila siku usiku na asubuhi
Kingereza sio changu cha mzungu
Na wa kwanza ambae tuna mwaka 1 na miezi 7
Kivipi wakati ni kitu kizuriUmeingia rasmi kwenye vita na shetani
Ndo wapi hko?Hongera, utapunguza kushinda xvideo na xxn sasa
Haiwezi kutokea kwanza hatuoani haraka hivyo mpaka nimalize shuleBaada ya miezi mi 3 ufungue uzi wakuya lalamikia maisha ya ndoa,ndio mlivyo nyie.
hapo mpaka ndoa ni parefu sanaKivipi wakati ni kitu kizuri
Huwa chakula na mpishi wake wanaliwa vyema kabisa.Nipakuliwe kwani mm chakula?