Hatimaye nimefanikiwa kupata Mbolea

Hatimaye nimefanikiwa kupata Mbolea

Shujaa Nduna

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2022
Posts
599
Reaction score
487
Si kila wakati kulaumu tu wakati mwingine kupongeza. Nimefanikiwa kupata mbolea kwa idadi ya heka nilizojiandikisha.

Usumbufu mdogo ni foleni tu ambapo ilinichukuwa siku 3 tofauti kufanikiwa kupata mbolea zote.

Kule kwenye usumbufu zaidi taratibu ziwekwe sawa ili kuwawezesha wasiynpata wapate kwa wakati.

Asante
 
Tuiombe serikali ya awamu ya sita ituwahishie mvua. Serikali yetu ni sikivu
 
Hongera Mkuu, watu hawata kuelewa. Ikiwa unazungumzia kilimo ambacho ni uti wa mgongo na kila mtu anakula kila siku...

Ishia hapo hapo wajuaji wakija watakwambia unataka uwaletee mchanganuo wa kilimo Cha bamia.
 
Mkuu hongera sana
Tumia vizuri hiyo mbolea na fuata maelekezo ya wataalamu hili upate mazao mengi.
Ukivuna nitakuja kukopa kwa bei nitakayopanga mimi.
 
Upo wapi? Huku kwetu mambo magum hata namba hatujapata
 
Tuiombe serikali ya awamu ya sita ituwahishie mvua. Serikali yetu ni sikivu
kuna mambo yanaamuliwa na binadam na mengine yapo nje,nijuavyo si maeneo yote hupata mvua kwa wakati mmoja.
 
Mkuu hongera sana
Tumia vizuri hiyo mbolea na fuata maelekezo ya wataalamu hili upate mazao mengi.
Ukivuna nitakuja kukopa kwa bei nitakayopanga mimi.
Bora uje kula bure si kukopa
 
Si kila wakati kulaumu tu wakati mwingine kupongeza. Nimefanikiwa kupata mbolea kwa idadi ya heka nilizojiandikisha.

Usumbufu mdogo ni foleni tu ambapo ilinichukuwa siku 3 tofauti kufanikiwa kupata mbolea zote.

Kule kwenye usumbufu zaidi taratibu ziwekwe sawa ili kuwawezesha wasiynpata wapate kwa wakati.

Asante
Upo Mkoa gani mkuu?
 
Back
Top Bottom