Hatimaye nimepata dawa ya nguvu za kiume

Mi ninayo ya kupaka tu kwenye kichwa cha mb..o ni ya asili kutoka d.r.c sio biashara aliniletea rafiki yangu ila naona ni kujichosha tu yaani kupiga bao hadi umuwaze Beyonce au Kardashian namuumiza tu wife na wakati sina tatizo.
 
Unajua statement ya the father of toxicology? Kuwa kila kitu ni sumu kutegemeana na dozi. Hakuna kitu kisicho sumu baba.

the problem is most of pple do not think of the toxicology part when it comes to fulfilling interests...............
no wonder if you do blood biochem you will get surprised.

kuna mwingine anajiita tiba asili mwez mei nikamconsult kama mgonjwa nisiyejua kitu huwez amini kisa nilisema naumwa tatizo la uzazi alinipa miti shamba iliyosagwa ikachanganywa na primolt N of which ukiona kwa macho you cant detect.
nilipokuja kufanya quality assurance ilikuwa ni kituko na wagonjwa wa 3 tulioenda kwa ugonjwa huo mmoja tulipewa dawa 3 tofauti zenye vitu tofauti na vyote havitibu......
 
Mi ninayo ya kupaka tu kwenye kichwa cha mb..o ni ya asili kutoka d.r.c sio biashara aliniletea rafiki yangu ila naona ni kujichosha tu yaani kupiga bao hadi umuwaze Beyonce au Kardashian namuumiza tu wife na wakati sina tatizo.

hiyo inaitwa mundongo
 
Huu mtego bab kubwa...eti uje useme hapa dawa haifai...Hahaaaa...nani aje akiri ana tatizo.?
 
Mi ninayo ya kupaka tu kwenye kichwa cha mb..o ni ya asili kutoka d.r.c sio biashara aliniletea rafiki yangu ila naona ni kujichosha tu yaani kupiga bao hadi umuwaze Beyonce au Kardashian namuumiza tu wife na wakati sina tatizo.

~Inaitwa kasongo seven ni balaaa
~Ukipata ya kupunguza nistue mie napiga 8 nataka iwe 3.
 
~Inaitwa kasongo seven ni balaaa
~Ukipata ya kupunguza nistue mie napiga 8 nataka iwe 3.

Poa kaka mimi hizo 3 hadi 4 kwa kawaida sio tatizo ila ukipaka huo upuuzi 3 akupe nani?? Badala ya 1 kwa dk 20 inakuchukua hadi dk90 hata kama ni mchepuko haukupi tena.
 
Mi ninayo ya kupaka tu kwenye kichwa cha mb..o ni ya asili kutoka d.r.c sio biashara aliniletea rafiki yangu ila naona ni kujichosha tu yaani kupiga bao hadi umuwaze Beyonce au Kardashian namuumiza tu wife na wakati sina tatizo.

You are little thief
 
Itakusaidia, ila itabidi utumie dozi mara 2 kama mwezi mzima hivi, nitakuongezea na nyingine. Namba hiyo hapo au njoo inbox

mimi ilishaacha kabisa kusimama, inastuka mara moja tu kwa mwezi, vipi dawa yako inafanya kazi?
 
King kong 111 wewe bonge tumbo kubwa ukafanye goli 8?Kuwa serious goli moja wabongo shida kazi yenu kupiga kelele kwenye mitandao
 
Mi sikujuwi mkuu ila angalia ukali wa maneno, hapa tunabishana kwa hoja tu
Wewe na vilaza wezako hakuna mtu mwenye tatizo languvu,nimawazo ya watz mnacheza na afya zao ukila hayo madude utaharisha na tumbo kuwaka moto
 
Huyo uliyekutana naye siyo mimi na kukutana na huyo isiwe ndiyo wote wapo hivyo. Halafu mnai-dharau mitishamba wakati hata hizo dawa za hospitalini zinatokana na mitishamba!!!

 
Huyo uliyekutana naye siyo mimi na kukutana na huyo isiwe ndiyo wote wapo hivyo. Halafu mnai-dharau mitishamba wakati hata hizo dawa za mitishamba zinatokana na mitishamba!!!

hahahhahhhaha................go back and learn more about traditional medicine.
FYI this is one area of my specialization, ukisema TLC, ukisema PK, extraction and synthesis of polymers, compound isolation apa ndo pake............................ukitaka nitembelee kwanza nije niifanyie dawa yako quality assurance. wewe sikaz hata ITM hupajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…