kweli wabongo tunapenda utumwa, sasa huzo zinazozidi laki nne si unaziapta kwa ujasiliamali au wewe mwizi unamwibia mwajili wakoBaada ya kupigika ndani ya miaka mitatu ya kuacha kazi niliyoona haina maslahi..kufungua biashara zikanishinda na kuzifunga nyingine kuziuza baada ya kuchoka kuumiza kichwa.
Nimerudi rasmi kwenye maisha ya mshaara wa laki nne kwa mwezi..uzuri nna gari yangu nilionunua baada ya kuuza biashara zangu..maisha sio shida kabisa..nimerudi kwenye nyumba ya bure kabisa, sijilipii matibabu nalipiwa na ofisi yangu pendwa nashkuru wamenipokea.
Tuacheni uongo biashara ni jambo lingine kabisa, asije akakushauri mtu uache kazi uingie kwenye ujasiliamali..biashara zina mambo mengiii hatari..nilipigika adi tsh 10 nilikua naiona kubwa.
Nashkuru sasa maisha yamenifunza nna adabu ofisini hapa sbabu najua nilipotokea.
Bahati mbaya sana nilishazoea maisha na ya udalali pia kwaiyo kule ilikua full kupigwa na jua kupambana na ela ukipata inaishia siku io io au kesho yake.
Hivyo mshahara nikipata hua unaisha ndani ya siku mbili alaf naanza ganga njaa au kuishi kimiujiza..ila nimeridhika kama ipo ipo tu siku moja mungu akiamua kunifungulia atafungua bila kutoa jasho kama nilivyotoa jasho kabla bila mafanikio yoyote..nakumbuka kuna njia nilikua sijawahi kupita ndani ya miaka lakini nilizipita..njaa nilikua nashinda hata siku mbili kwaiyo hamna kinachonitisha kwa sasa.
Tushukuruni sana hizi nafasi zetu mungu alizotupa..tusiziwekee kiburi wala kudharau na kujiona tunaweza kuliko wengine..maarifa ni muhimu sana kabla ya kufanya maamuzi ya haraka.
Wasalaam…
Usisahau kunitaq mkuu.Nikipata muda nitaandika kitu hapa ili wengi wajifunze kuhusu maisha na akili ya binadamu.
Pumzika huko huko biashara tuachie akina sieBaada ya kupigika ndani ya miaka mitatu ya kuacha kazi niliyoona haina maslahi..kufungua biashara zikanishinda na kuzifunga nyingine kuziuza baada ya kuchoka kuumiza kichwa.
Nimerudi rasmi kwenye maisha ya mshaara wa laki nne kwa mwezi..uzuri nna gari yangu nilionunua baada ya kuuza biashara zangu..maisha sio shida kabisa..nimerudi kwenye nyumba ya bure kabisa, sijilipii matibabu nalipiwa na ofisi yangu pendwa nashkuru wamenipokea.
Tuacheni uongo biashara ni jambo lingine kabisa, asije akakushauri mtu uache kazi uingie kwenye ujasiliamali..biashara zina mambo mengiii hatari..nilipigika adi tsh 10 nilikua naiona kubwa.
Nashkuru sasa maisha yamenifunza nna adabu ofisini hapa sbabu najua nilipotokea.
Bahati mbaya sana nilishazoea maisha na ya udalali pia kwaiyo kule ilikua full kupigwa na jua kupambana na ela ukipata inaishia siku io io au kesho yake.
Hivyo mshahara nikipata hua unaisha ndani ya siku mbili alaf naanza ganga njaa au kuishi kimiujiza..ila nimeridhika kama ipo ipo tu siku moja mungu akiamua kunifungulia atafungua bila kutoa jasho kama nilivyotoa jasho kabla bila mafanikio yoyote..nakumbuka kuna njia nilikua sijawahi kupita ndani ya miaka lakini nilizipita..njaa nilikua nashinda hata siku mbili kwaiyo hamna kinachonitisha kwa sasa.
Tushukuruni sana hizi nafasi zetu mungu alizotupa..tusiziwekee kiburi wala kudharau na kujiona tunaweza kuliko wengine..maarifa ni muhimu sana kabla ya kufanya maamuzi ya haraka.
Wasalaam…
Unalia kivulini na laki nne kwa mwezi!!?Nshayapita mkuu saivi nalia kivulini..
Nakumbuka ulikuja kuomba ushauri hapa,Umefanya uamuzi sahihiBaada ya kupigika ndani ya miaka mitatu ya kuacha kazi niliyoona haina maslahi..kufungua biashara zikanishinda na kuzifunga nyingine kuziuza baada ya kuchoka kuumiza kichwa.
Nimerudi rasmi kwenye maisha ya mshaara wa laki nne kwa mwezi..uzuri nna gari yangu nilionunua baada ya kuuza biashara zangu..maisha sio shida kabisa..nimerudi kwenye nyumba ya bure kabisa, sijilipii matibabu nalipiwa na ofisi yangu pendwa nashkuru wamenipokea.
Tuacheni uongo biashara ni jambo lingine kabisa, asije akakushauri mtu uache kazi uingie kwenye ujasiliamali..biashara zina mambo mengiii hatari..nilipigika adi tsh 10 nilikua naiona kubwa.
Nashkuru sasa maisha yamenifunza nna adabu ofisini hapa sbabu najua nilipotokea.
Bahati mbaya sana nilishazoea maisha na ya udalali pia kwaiyo kule ilikua full kupigwa na jua kupambana na ela ukipata inaishia siku io io au kesho yake.
Hivyo mshahara nikipata hua unaisha ndani ya siku mbili alaf naanza ganga njaa au kuishi kimiujiza..ila nimeridhika kama ipo ipo tu siku moja mungu akiamua kunifungulia atafungua bila kutoa jasho kama nilivyotoa jasho kabla bila mafanikio yoyote..nakumbuka kuna njia nilikua sijawahi kupita ndani ya miaka lakini nilizipita..njaa nilikua nashinda hata siku mbili kwaiyo hamna kinachonitisha kwa sasa.
Tushukuruni sana hizi nafasi zetu mungu alizotupa..tusiziwekee kiburi wala kudharau na kujiona tunaweza kuliko wengine..maarifa ni muhimu sana kabla ya kufanya maamuzi ya haraka.
Wasalaam…
Vijana wangapi graduate wanakosa kazi? Na wanafikia hatua ya kutafuta kazi ata ya mshahara wa laki noja kwa mwezi leo hii wewe unabeza laki 4, hakika tumetofautiana.Laki 4!!!pole sana
Kiulaiiini umekubali mwenyewe......!Hapa kipindi nateseka juani..sio haba ilikua ukitoka asbhi saa zingine unarudi na laki 3..enzi za kutafuta uhuru..lakini tutaache yaliopita tugange yajayo..saivi naisubiria laki 4 kivulini kwenye air condition na uhuru nnao sbb sinyanyaswi na huyu boss wangu..naingia saa mbili nakula chakula cha ofisni narudi saa kumi na moja nyumbani naenda gym narudi nyumbani..na kunawili nimeshaanza [emoji3][emoji3]…usinionee wivu kwa kufukua makaburi
😂😂😂Nimeyarudia lakini nahisi bado yapo fresh kabisa kuingia tena kinywani…unaeniambia hivyo utadhani wewe una maisha mazuri kumbe unashinda mitandao ya kijamii..mwenzio saivi nmetosha kushika posho tayari ya weekend..na kesho hamna kazi..juzi nimepokea laki nne mfukoni [emoji23][emoji23]
Dont settle for less....Vijana wangapi graduate wanakosa kazi? Na wanafikia hatua ya kutafuta kazi ata ya mshahara wa laki noja kwa mwezi leo hii wewe unabeza laki 4, hakika tumetofautiana.
[emoji28][emoji28][emoji28],sherehe ya kurudi kwa bossSijawahi ona sherehe ya aina hii
MamboHongera
Haha only two years!!!??? How soon ulitegemea biashara ikuNilishafanya hivyo kwa almost two years lakini imeshindikana..najua ata hivi life litaenda tu..