Hatimaye nimesajili line zangu kwa alama za vidole

Hatimaye nimesajili line zangu kwa alama za vidole

Darren2019

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2019
Posts
1,112
Reaction score
2,400
Wadau heshima na iwe kwenu.

Natambua wengi wetu hili zoezi lilitupa uvivu kweli na bado mpo ambao hamjatimiza takwa hili la Serikali, niwahimize tu tujitahidi kutumia hizi siku chache zilizosalia kukamilisha zoezi hili ili tusiwakwaze wakuu wetu.

Pia nichukue fursa hii kuwapongeza halotel kwa kutoa ofa ya 1GB kwa mteja baada ya kukamilisha usajili huu.

Huko voda vip?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu. Mimi Laini yangu nilikamilisha hili zoezi siku ya kwanza kabisa lilipo anza hata ID pia nimepata mwanzo mwanzo sana
 
Back
Top Bottom