John Nash Jr
Member
- Sep 13, 2018
- 54
- 59
Nitajitahidi niendelee kushinda maktaba. Ili kuleta mada zenye mashikoSawa lete mada zenye mashiko
Ondoa shaka mkuu. Mimi ni mtu wa straight to the point.Kama utambulisho tu mrefu hivi je ukiwa mzoefu si tutasoma makala tupasuke mafuvu.
Asante mkuuKaribu jf mjukuu wetu
Asante kwa angalizo mkuu.Karibu sana, ila tahadhari tu kuna ugonjwa hatari wa kuwahi seat kwa kila uzi angalia usije kuambukizwa toa mchango wa kujenga na sio kukimbia kuwahi seat
Asante sana mkuu.Karibu sana mkuu
Nitaweka mkuu.Weka picha ili upatiwe kitambulisho
Asante sana mkuukaribu