Fanya ile kitu nafasi inapenda!nilikuwa naonaga wivu sana nikionaga watu waapiga miluzi kila nikijaribu siwezi
mpo disco zinapigwa ngoma Kali unasikia wahuni wanapiga miluzi Pye pyeeeeeee mpaka raha ila nikirajibugi siwezagi
ASA ivi naweza napiga miluzi balaa nimekuwa masta miluzi
Wananikoma ngoma nikipata vibe ni mwendo wa miluzi tu
What is the point of your useless thread my child?nilikuwa naonaga wivu sana nikionaga watu waapiga miluzi kila nikijaribu siwezi
mpo disco zinapigwa ngoma Kali unasikia wahuni wanapiga miluzi Pye pyeeeeeee mpaka raha ila nikirajibugi siwezagi
ASA ivi naweza napiga miluzi balaa nimekuwa masta miluzi
Wananikoma ngoma nikipata vibe ni mwendo wa miluzi tu
Atakuwa anataka kutufundisha kuwa wazazi tusinunulie watoto zile pipi zenye filimbi zinapoteza uwezo wa kupiga miluzi ( si umeona yeye ndio kaweza sahivi) , kama si hivyo labda anataka tulinde utamaduni wa kupiga milizu kama tupo machunganiWhat is the point of your useless thread my child?
Nchi ina maajabu hiinilikuwa naonaga wivu sana nikionaga watu waapiga miluzi kila nikijaribu siwezi
mpo disco zinapigwa ngoma Kali unasikia wahuni wanapiga miluzi Pye pyeeeeeee mpaka raha ila nikirajibugi siwezagi
ASA ivi naweza napiga miluzi balaa nimekuwa masta miluzi
Wananikoma ngoma nikipata vibe ni mwendo wa miluzi tu