GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilikuwa siziamini baadhi ya Kauli hasa hii isemayo ' Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea Mwendo wake ' ila kwa kadri ambavyo naanza Kumuona Pierre Konki Liquid tokea adhihakiwe na adharauliwe na ' Mswahili ' mmoja ambaye kiuhalisia ni wa ' hovyo hovyo ' naona ndiyo Kwanza ' Nyota ' ya Pierre wa Watu inazidi Kung'aa tu na nina uhakika kuwa itang'aa daima.
Kama ulidhani Kumdhihaki na Kumdharau Pierre Konki Liquid kiasi kile ungemmaliza sasa taarifa ikufikie ya kwamba Kitendo ulichokufanya Wewe Mtu wa ' hovyo hovyo ' ndiyo Kwanza umfanya akubalike na cha Kupendeza zaidi si tu kwamba Pierre anapendwa na Watanzania bali sasa hivi hata Mabosi wako ' Kimamlaka ' na ' Kiitifaki ' kama Makamu wa Rais na Spika wa Bunge nao wanamkubali na wanampa kila aina ya Ushirikiano.
Una Chuki na Wivu sana Wewe Mtu wa ' Hovyo Hovyo ' na nina uhakika kuna ' Laana ' zinakuandama ndiyo maana unaona hukubaliki japo unajitahidi mno kuji ' Brand ' huku na kule kwakuwa unalindwa na ' Babaako ' wa Hiari ambaye nina uhakika tena wa 100% kwa hili ulilolifanya kwa Pierre hata Yeye pia hajapendezwa nalo na huenda sasa likamthibitishia kuwa hufai na una matatizo makubwa hivyo afikirie Kukuondoa.
Mimi binafsi siyo Mnywaji wa Pombe ( Gambe ) bali nina Kilevi changu cha ' Kutukuka ' kilichopo maeneo muhimu ya Binadamu wa Jinsia ya Hawa ( Eva ) ila kila nikimuona Pierre Konki Liquid na ' Vituko ' vyake huwa naburudika mno na wala sijaona ubaya wake wowote. Sina cha kumpa Pierre wa Watu ila ninachoweza tu kufanya Kwake ni Kumuombea ' Mafanikio ' mema kwa Mwenyezi Mungu kwani najua hadi Yeye kufika hapo leo hii atakuwa amepitia katika Shida na Taabu nyingi hivyo huu sasa ni wakati wake nae pia kula ' Matunda ' ya Uvumilivu wake.
Kuna Watu ni Wanaume lakini mna Wivu wa Kike Kike sana.
Nawasilisha.
Kama ulidhani Kumdhihaki na Kumdharau Pierre Konki Liquid kiasi kile ungemmaliza sasa taarifa ikufikie ya kwamba Kitendo ulichokufanya Wewe Mtu wa ' hovyo hovyo ' ndiyo Kwanza umfanya akubalike na cha Kupendeza zaidi si tu kwamba Pierre anapendwa na Watanzania bali sasa hivi hata Mabosi wako ' Kimamlaka ' na ' Kiitifaki ' kama Makamu wa Rais na Spika wa Bunge nao wanamkubali na wanampa kila aina ya Ushirikiano.
Una Chuki na Wivu sana Wewe Mtu wa ' Hovyo Hovyo ' na nina uhakika kuna ' Laana ' zinakuandama ndiyo maana unaona hukubaliki japo unajitahidi mno kuji ' Brand ' huku na kule kwakuwa unalindwa na ' Babaako ' wa Hiari ambaye nina uhakika tena wa 100% kwa hili ulilolifanya kwa Pierre hata Yeye pia hajapendezwa nalo na huenda sasa likamthibitishia kuwa hufai na una matatizo makubwa hivyo afikirie Kukuondoa.
Mimi binafsi siyo Mnywaji wa Pombe ( Gambe ) bali nina Kilevi changu cha ' Kutukuka ' kilichopo maeneo muhimu ya Binadamu wa Jinsia ya Hawa ( Eva ) ila kila nikimuona Pierre Konki Liquid na ' Vituko ' vyake huwa naburudika mno na wala sijaona ubaya wake wowote. Sina cha kumpa Pierre wa Watu ila ninachoweza tu kufanya Kwake ni Kumuombea ' Mafanikio ' mema kwa Mwenyezi Mungu kwani najua hadi Yeye kufika hapo leo hii atakuwa amepitia katika Shida na Taabu nyingi hivyo huu sasa ni wakati wake nae pia kula ' Matunda ' ya Uvumilivu wake.
Kuna Watu ni Wanaume lakini mna Wivu wa Kike Kike sana.
Nawasilisha.