Hiki ni kibwagizo kidogo tokea Tarime.
Ni majuzi tumeona kipigo cha mbwa koko kwa mtuhumiwa aliyekuwa kwenye pingu. Haifahamiki kama polisi wahalifu wale kuna angalau walio bado korokoroni.
Mtwara tuliyekuwa tukiambiwa jambazi kumbe ndiye aliyekuwa mhanga wa yale majambazi sugu yenyewe.
Ya majambazi wa kina Zombe nayo haikuwa habari ndogo.
Mifano ni mingi mno.
Kwamba ghafla polisi hawa wamegeuka malaika? Kwamba Hawabambikizi kesi tena? Hawauwi watuhumiwa kwa kuwaonea? Kwamba sasa ni haki kwa kwenda mbele?
Ya kwamba waliokuwa wahanga wao wa kudumu sasa wamesahau na ndiyo wanawashangilia kwa bashasha kweli kweli?
Labda kama ni mahsusi kwa ajili ya kuwaambia ndege.
Anasema beberu: "Tell it to the birds."
Haiwezi kuwa tofauti.
Ni majuzi tumeona kipigo cha mbwa koko kwa mtuhumiwa aliyekuwa kwenye pingu. Haifahamiki kama polisi wahalifu wale kuna angalau walio bado korokoroni.
Mtwara tuliyekuwa tukiambiwa jambazi kumbe ndiye aliyekuwa mhanga wa yale majambazi sugu yenyewe.
Ya majambazi wa kina Zombe nayo haikuwa habari ndogo.
Mifano ni mingi mno.
Kwamba ghafla polisi hawa wamegeuka malaika? Kwamba Hawabambikizi kesi tena? Hawauwi watuhumiwa kwa kuwaonea? Kwamba sasa ni haki kwa kwenda mbele?
Ya kwamba waliokuwa wahanga wao wa kudumu sasa wamesahau na ndiyo wanawashangilia kwa bashasha kweli kweli?
Labda kama ni mahsusi kwa ajili ya kuwaambia ndege.
Anasema beberu: "Tell it to the birds."
Haiwezi kuwa tofauti.