Nimegundua jambo, kutokuwa na consistence kwenye madai yetu ni jambo linalorudisha nyuma spidi ya kufikia mabadiliko kwenye hili taifa.
Mfano, wanasiasa wakianza kudai haki ya mikutano ya kisiasa tutawaunga mkono, kwasababu hili liko kisheria ni haki yao, lakini watuhumiwa watakapouliwa mikononi mwa polisi kabla ya kufokishwa mahakamani, pia tutawaunga mkono polisi, licha ya kuwa polisi wanavunja sheria.
Hii tabia ya ukigeugeu kwetu imeshajulikana kwa watawala, sasa wanajua tukianza kupiga kelele kudai haki zetu, watuache tu, kwani iko siku tutajichanganya wenyewe twende kinyume na zile haki tunazopigania, hivyo hatupewi tunachotaka kwa wakati.
Nimegundua jambo, kutokuwa na consistence kwenye madai yetu ni jambo linalorudisha nyuma spidi ya kufikia mabadiliko kwenye hili taifa.
Mfano, wanasiasa wakianza kudai haki ya mikutano ya kisiasa tutawaunga mkono, kwasababu hili liko kisheria ni haki yao, lakini watuhumiwa watakapouliwa mikononi mwa polisi kabla ya kufokishwa mahakamani, pia tutawaunga mkono polisi, licha ya kuwa polisi wanavunja sheria.
Hii tabia ya ukigeugeu kwetu imeshajulikana kwa watawala, sasa wanajua tukianza kupiga kelele kudai haki zetu, watuache tu, kwani iko siku tutajichanganya wenyewe twende kinyume na zile haki tunazopigania, hivyo hatupewi tunachotaka kwa wakati.
Nimegundua jambo, kutokuwa na consistence kwenye madai yetu ni jambo linalorudisha nyuma spidi ya kufikia mabadiliko kwenye hili taifa.
Mfano, wanasiasa wakianza kudai haki ya mikutano ya kisiasa tutawaunga mkono, kwasababu hili liko kisheria ni haki yao, lakini watuhumiwa watakapouliwa mikononi mwa polisi kabla ya kufokishwa mahakamani, pia tutawaunga mkono polisi, licha ya kuwa polisi wanavunja sheria.
Hii tabia ya ukigeugeu kwetu imeshajulikana kwa watawala, sasa wanajua tukianza kupiga kelele kudai haki zetu, watuache tu, kwani iko siku tutajichanganya wenyewe twende kinyume na zile haki tunazopigania, hivyo hatupewi tunachotaka kwa wakati.
Akielewa jambo lolote huyo ndugu, basi tambua siku hiyo jua litachomoza magharibi na kuzama mashariki. Kama ni kile kipaji pendwa, chake kimsingi ni kikubwa kuliko wale wenzake.