Elections 2010 Hatimaye Ritta Mlaki abwaga manyanga jimbo la Kawe....

Elections 2010 Hatimaye Ritta Mlaki abwaga manyanga jimbo la Kawe....

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Mbunge wa Kawe, Rita Mlaki, ametangaza rasmi kutogombea tena jimbo la Kawe.

Rita Mlaki ametangaza kutogombea huko akiwa Bungeni mjini Dodoma, wakati akichangia makadirio ya Bajeti ya Miundombinu yeye akiwa ndie nchangiaji wa mwisho kabla kikao cha asubuhi hakuijaahirishwa mpaka saa11 jioni.

Mama mlaki ametumia fursa hiyo kuwaaga wabunge na wana Kawe kwa ujumla, japo hakuifanyia chochote Kawe, kuaga ni ustaarabu, tunamshukuru kwa hili.

My Take:
Huyu ni mmoja ya wabunge wachache aliyewa kusoma wazi wazi dalili za nyakati na kuamua kujikali kando kabla wana Kawe, hawajuweka kando na CCM yake.

Kutogombea kwake, kunamuweka pabaya Halima Mdee maana sasa itategemea CCM wanamsimamisha nani.
 
Amefanya la maana, tumemchoka kabisa huku kwetu na hata angegombea asingerudi.
 
kawe sasa ifanye mabadiliko kwa kuchaguaa upinzani..achenii kurudiaa makosaa..

nampongeza mh rita mlaki kwa uamuzi wa kupumzikaa siasa.
 
Huyo mama alishajichokea zake. Hivi bado huwa anavaa vile vimini vya 'kufa mtu' na vikuku?
 
thatis very clever of her
 
Huyo mama alishajichokea zake. Hivi bado huwa anavaa vile vimini vya 'kufa mtu' na vikuku?
Off course hii ndio dressing yake, amejaaliwa mguu wa kufa mtu, shepu ya Kiafrika, kwanini asivae mini?. Tena rangi zake ni always colourful!.

Hakujichokea, bali alikuwa na nguzo fulani aliyokuwa akiitumia kama egemeo, hiyo nguzo ilianguka, hivyo akabakia akitafuta egemeo jingine, baada ya kukosekana, amekubali yaishe, nadhani atamsaidia bintiye kuimarisha zaidi 'Casandra'.
 
Mh! yaani kumbe mhe. Mdee ndio kamkimbiza huyu mama dah kweli kazi ipo oktoba majimbo ya uchaguzi yatakuwa hayatoshi
 
Mbunge wa Kawe, Rita Mlaki, ametangaza rasmi kutogombea tena jimbo la Kawe.

Rita Mlaki ametangaza kutogombea huko akiwa Bungeni mjini Dodoma, wakati akichangia makadirio ya Bajeti ya Miundombinu yeye akiwa ndie nchangiaji wa mwisho kabla kikao cha asubuhi hakuijaahirishwa mpaka saa11 jioni.

Mama mlaki ametumia fursa hiyo kuwaaga wabunge na wana Kawe kwa ujumla, japo hakuifanyia chochote Kawe, kuaga ni ustaarabu, tunamshukuru kwa hili.

My Take:
Huyu ni mmoja ya wabunge wachache aliyewa kusoma wazi wazi dalili za nyakati na kuamua kujikali kando kabla wana Kawe, hawajuweka kando na CCM yake.

Kutogombea kwake, kunamuweka pabaya Halima Mdee maana sasa itategemea CCM wanamsimamisha nani.

Halima bado hajakomaa,hoja zake ni copy and paste
 
Nachukua fursa hii kumpongeza sana mama Mlaki, she was never my favourite leader lakini kwa hili ameonyesha upevu ambao majority ya CCM leaders hawana!!! kibaya zaidi kuna wengine wanadiriki kusema "wamekuja kuninyang'anya jimbo langu".... jimbo langu my a$$

Nachukua nafasi hii pia kutoa rai kwa wabunge wengine wengi ambao hakuna walichofanya, kufuata maamuzi ya kikomavu aliyofanya ritha... mfano; Zungu, malechela, ngasongwa, mkuchika, keenja, mrema, mahanga, ngeleja, masha, zabeni mhita, mama mbega, nk. kuachia ngazi na kuruhusu mabadiliko ya kweli ya kidemokrasia

pia si vibaya akina lipumba nao kugundua once beaten, twice shy, thrice shame four time ni idiocy

DN
 
Mbunge wa Kawe, Rita Mlaki, ametangaza rasmi kutogombea tena jimbo la Kawe.

Rita Mlaki ametangaza kutogombea huko akiwa Bungeni mjini Dodoma, wakati akichangia makadirio ya Bajeti ya Miundombinu yeye akiwa ndie nchangiaji wa mwisho kabla kikao cha asubuhi hakuijaahirishwa mpaka saa11 jioni.

Mama mlaki ametumia fursa hiyo kuwaaga wabunge na wana Kawe kwa ujumla, japo hakuifanyia chochote Kawe, kuaga ni ustaarabu, tunamshukuru kwa hili.

My Take:
Huyu ni mmoja ya wabunge wachache aliyewa kusoma wazi wazi dalili za nyakati na kuamua kujikali kando kabla wana Kawe, hawajuweka kando na CCM yake.

Kutogombea kwake, kunamuweka pabaya Halima Mdee maana sasa itategemea CCM wanamsimamisha nani.

Kuna mema yoyote ya kukumbukwa aliyotenda wakati akiwa mbuge au ndo kaona uwezekano wake kuchaguliwa tena haupo ndokatangaza kuachia ngazi mapema ili asiaibike
 
Halima bado hajakomaa,hoja zake ni copy and paste

Pole mzee, kwa kuwa uko tayari kuwavumilia yale mazee ya CCM mule bungeni yanayolala siku nenda rudi na kumtolea macho huyu binti shupavu unayedai ana copy na kupaste. Hebu niambie kitu kimoja ambacho wewe ume invent mwezentu? Naudia pole sana kwa kuwa na ufahamu uliyo karibu na malaria Sugu
 
Yaaani maneno yake hayo aliktakiwa aseme JK - walahih ningetembea mtupu kutoka chumbani hadi sebuleni
Sijui anangoja nini?
 
Subiri jamaa ES aione hii post yako utashambuliwa mpaka utashangaa mtu yule yule ila ids kibao.
ES weshamziba domo.... sikuhizi ni koplo ES na si field marshal ES tena... hata ile sauti ya umeme imekua vocal la kijiko [joke]
 
Siasa ni kama mchezo wa kupokezana vijiti. unakimbiza awamu yako na ukifika wakati unamwachia mwingine. Hakuna mtu mwenye umiliki na jimbo.
 
Pole mzee, kwa kuwa uko tayari kuwavumilia yale mazee ya CCM mule bungeni yanayolala siku nenda rudi na kumtolea macho huyu binti shupavu unayedai ana copy na kupaste. Hebu niambie kitu kimoja ambacho wewe ume invent mwezentu? Naudia pole sana kwa kuwa na ufahamu uliyo karibu na malaria Sugu

...Kutogombea kwake, kunamuweka pabaya Halima Mdee maana sasa itategemea CCM wanamsimamisha nani


Mkuu Pasco na Shalom,

Kwa kipimo halisi cha Mbunge - Kwa mtizamo wangu Halima Mdee bado sana - hajakomaa hata kidogo. Hawezi kujenga hoja na pia anao mtizamo wa kati kwa kila suala analolizungumiza (nimemwona mara kadhaa kwenye bunge na hata TV shows esp TBC)

Tusiwe mashabiki wa kupeleka vijana bungeni - tukaishia kupeleka "magarasha" - Nyinyi kwenye vyama vyenu mnafahamu ni vijana wapi wazuri ambao wanaweza kuleta tofauti.

BTW: Habari nilizonazo ni kwamba CCM wanamsimamisha Kippi Warioba kwenye jimbo la Kawe - huyu naye kwangu si mkomavu wa kutosha katika nyanja ya siasa na uchumi.
 
Back
Top Bottom