Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Alikuwa na uwezo wa kufunga na mwanamke yeyote yule, sio lazima huyo aliyezaa nae. kuishi na mwanamke mmoja ndani na kuwa nao 6 mtaani yote ni sawa (Uzinzi). Naamanisha amefunga ndoa (ameweka agano)Wamebariki ndoa#
Ndoa waliifunga the moment walivyofanya tendo la ndoa na kupata mtoto.
By the way, hongera kwao kwa kuhalalisha rasmi tendo hilo.
Ndoa ni nini??Wamebariki ndoa#
Ndoa waliifunga the moment walivyofanya tendo la ndoa na kupata mtoto.
By the way, hongera kwao kwa kuhalalisha rasmi tendo hilo.
Hivi Kala keshaoa??Hongera zao. Napenda urafiki wao na kala Geremia
nimeshangaa pia...lotus si ana mtoto piaLotus
Je?