kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
Singida Black Stars Leo imejikuta ikiangusha points 2 Muhimu mbele ya JKT Tanzania katika mbio zake za kubakia kileleni. Matokeo Haya yanatoa unafuu Kwa Washindani Wake iwapo wataendelea kufanya Vizuri kukwea Kileleni mwa Msimamo Wa Ligi.
Yote Kwa yote ,hii inaonyesha Ligi ya mwaka huu itakuwa ngumu Sana.
Yote Kwa yote ,hii inaonyesha Ligi ya mwaka huu itakuwa ngumu Sana.