Hatimaye SoudyBrown abwaga manyanga WCB.

Hatimaye SoudyBrown abwaga manyanga WCB.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Mjini kiki ni WCB, WCB ni kama maji ,usipokunywa, utayaoga tu .

Soudybrown amejikazaa weeeee mwishoni yamemshinda maana alikuwa ameshaanza kupoteza kundi kubwa la watu kwa kukosa habari moto moto mwisho wa siku kutwa kuchwa kumpost Nand na Maua Sama akibadili sana amemuongelea Casto Dickson.

Jamaa alikuwa anaumia sana kutopost habari zinazowahusu WCB, mwisho wa siku ndio kama hivyo ameamua kubwaga manyanga na kuamua kujipendekeza usafini kwa kupost habari zinazowahusu.


Hilo neno la "Masotojo" ni neno linalotumika Wasafi kwa hiyo mchizi ameanza kujipenyeza penyeza hivyo hivyo mdogo.mdogo kwa kutumia baadhi ya maneno ya Usafini ,pia siku hizi amekuwa akiwaongelea sana Wasafi japo kwa kificho ficho kwa kuhofia kibarua chake kisije kikaota nyasi.
20181106_163412.jpeg
 
Hilo neno limeaza kutumika kabla ya Hata WCB kuwepo Duniani Hebu Acha Uongo.
Duuuuu Mtanashati kweli kaingia mjini juzi,hilo neno Mbwiga wa mbwiguke alikuwa analitumia sana miaka ya 2013-2014 hapa alikuwa na kipindi clouds cha makulaji alikuwa anapenda kusema "Mambo ya madikodiko,masotojo na marosoroso" akiwa ana maanisha "Misosi" pia akaleta neno lake la "UMATE UMATE" yaani Mipunga
 
Etii kuna msanii mmoja majuzi alikua analialia ameibiwa neno lake la #BabaAkoo[emoji3][emoji3][emoji3]

Daah kuna watu wa vituko nyie
 
Mjini kiki ni WCB, WCB ni kama maji ,usipokunywa, utayaoga tu .

Soudybrown amejikazaa weeeee mwishoni yamemshinda maana alikuwa ameshaanza kupoteza kundi kubwa la watu kwa kukosa habari moto moto mwisho wa siku kutwa kuchwa kumpost Nand na Maua Sama akibadili sana amemuongelea Casto Dickson.

Jamaa alikuwa anaumia sana kutopost habari zinazowahusu WCB, mwisho wa siku ndio kama hivyo ameamua kubwaga manyanga na kuamua kujipendekeza usafini kwa kupost habari zinazowahusu.


Hilo neno la "Masotojo" ni neno linalotumika Wasafi kwa hiyo mchizi ameanza kujipenyeza penyeza hivyo hivyo mdogo.mdogo kwa kutumia baadhi ya maneno ya Usafini ,pia siku hizi amekuwa akiwaongelea sana Wasafi japo kwa kificho ficho kwa kuhofia kibarua chake kisije kikaota nyasi.
View attachment 923703
B8FD372E-A242-4D1D-AE80-6F4A35DF4AFE.jpeg

Hizo tweets hapo zilikuwa ni Mwaka 2013 hao wadau walikuwa wanazungumzia Sotojo au Bunyerobunyero kwa watu wa pwani wanaelewa.



Hii vid niliiona 2017. Way back before hao Wasafi wako.

.............. Thread Closed no Further Replies.................
 
Back
Top Bottom