Hatimaye St.joseph college of engineering and technology yawa univerisity

Kiwe chuo bora na kizalishe wataalamu wa bora wa uhandisi na sio kugawa gpa kubwa kwa wahitimu wake.!!
 
kwenye red una uhakika??????!!!

Ntaikubali siku wahindi wakiondoka, sina maana wanafunzi na waTZ walioko pale wana tatizo ila Wahindi in nature wanawaburuza.... Just imagine hata kwenda bodi kudai fedha zako unafukuzwa chuo, nadhani hata chekechea wanafuata sheria na taratibu ambazo zinakubalika kwa pande zote....
 
nita weza kujiunga kama nime maliza form 4:glasses-nerdy::glasses-nerdy::majani7:
 
Ulishaona University yenye Prof Moja... tena kutoka India, wao hata mtu wa Veta anafundisha...

Embu TCU iwe serious, kwanza wanaharibu Elimu yetu

acha majungu weeweee!!ktk elimu ya sasa wa2 hawaangalii chuo kua na maprofesa wangapi wanachoangalia ni ubora wa elimu inayotolewa je inaweza kuleta ushindan ktk soko la ajira....mbna udom wana maprofessa wengi lakin kiwango cha elimu kinachotolewa ni kibovu ambacho hata kwenye soko la ajila hakina ushindani........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…