Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Kwani mlevi wenu hajapiga magoti ? Unakumbuka kauli ya bwana wenu cjui ndio wazir wa afya ana hata akili sasa kijitapa zimepita cku 3 tu chapombe kaomba poo oooh Watanzania wataingia bila ya kukaa karantiniSi mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana
Uchumi gani huo..Dalili kwamba Tanzania hatuna nia mbaya wala ajenda ya siri kama mlivyoaminishwa kwamba Tanzania inalengo la kuvuruga uchumi wa Kenya.
Wanasemanga he who laughs last laughs best ππ.Habari ndio hioSi mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana
Tanzania ni baba yenu, mmeona mmeomba mpaka po.Wanasemanga he who laughs last laughs best [emoji23][emoji23].Habari ndio hio
Kweli ninyi ni vichaa, serikali yetu ilishasema kwamba mkiweka Tanzania katika orodha ya nchi mlizoruhusu ndio wataruhusu ndege za Kenya kutua Tanzania, na ndivyo ilivyofanya, sasa ninyi ambao mlisema hamtoiweka Tanzania katika hiyo list hadi Tanzania itakapotoa taarifa za wagonjwa wa Corona, tuwachukulieje?Wanasemanga he who laughs last laughs best [emoji23][emoji23].Habari ndio hio
Tumia akili yako vizuri usijipe uchizi, tulizuia ndege zenu baada ya Kenya kutoiweka Tanzania katika orodha ya nchi ziloruhusiwa kutua Kenya, hapakua na sababu zingine zaidi ya hiyo.ATCL nayo imeanza kuingia nchini Kenya? Au ilikuwa ni wivu tu na visasi vya ovyo ovyo kama vya mahouse maid? Bure kabisa.
Nani walisemaSi mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana
Mmepiga magoti ndo maana tumewaruhusuSi mlisema kuwa mtatucharaza viboko. Mlisema kuwa mtatufunza adabu. Mlisema KQ haitatua Dar hadi tupige magoti. Sasa tena mnasongeza goli. Baba yenu ukanda huu anajulikana
Sasa mlipo ongezwa kwenye orodha, pamoja na nchi zingine zote ambazo hazikuwa kwenye orodha ya hapo awali, ndio mkaona freshi kupanua miguu kabisa tuendelee na show kama kawa? KQ inatua Tz, ATCL haitui Kenya, status quo ipo pale pale hapo hamna strategy yeyote zaidi ya wivu.Tumia akili yako vizuri usijipe uchizi, tulizuia ndege zenu baada ya Kenya kutoiweka Tanzania katika orodha ya nchi ziloruhusiwa kutua Kenya, hapakua na sababu zingine zaidi ya hiyo.
Nani aliyesema tuendelee na show zaidi ya watu kwenye mitandao?, msimamo wa serikali ya Tanzania ulikua kwamba hatutoruhusu KQ hadi Tanzania iwekwe katika list, na ndivyo ilivyifanya.Sasa mlipo ongezwa kwenye orodha, pamoja na nchi zingine zote ambazo hazikuwa kwenye orodha ya hapo awali, ndio mkaona freshi kupanua miguu kabisa tuendelee na show kama kawa? KQ inatua Tz, ATCL haitui Kenya, status quo ipo pale pale hapo hamna strategy yeyote zaidi ya wivu.
Samehe bure hawa watu.Yan huna hata aibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tumefunga baada ya nyie kufanya Nini???
Baada ya Watanzania kupiga domo jana kuwa Tanzania haitaruhusu KQ kuingia humo hadi mwakani, Tanzania imeshindwa kungoja hata wiki moja ili kufunza Kenya adabu kama mlivyokuwa mkisema.
Yaani hata masaa 24 hazijaisha kabla Kenya kuruhusu malazy kuingia huku, tayari TZ imeruhusu KQ kuingia. Hio haraka ni ya nini? Hii inaonyesha kuwa Tanzania ni nchi yenye utoto sana. Mnanuna kila wakati. Si mngengoja hata wiki moja ili sisi Wakenya tupate adabu kama mlivyosema? Kenya babu yenu.
=======
Tanzania lifts ban on Kenyan airlines
Kenyan carriers will resume flights with immediate effect after Tanzanian regulator lifts ban.
File | Nation Media Group
Kenyan airlines have finally been allowed to land in Tanzania, bringing an end to the airspace feud between the two countries.
This is after the Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) announced that it had lifted the suspension that hit Kenyan airlines.
In a statement, TCAA director general Hamza Johari said the authority was acting on reciprocal basis after its Kenyan counterpart, the Kenya Civil Aviation Authority (KCAA), included Tanzania on a revised list of countries exempted from the 14-day mandatory quarantine upon arrival.
βIn view of that and on a reciprocal basis, Tanzania has now lifted the suspension for all Kenyan Operators namely, Kenya Airways, Fly 540 Limited, Safarilink Aviation and AirKenya Express Limited,β TCAA director general Hamza Johari said.
Mr Johari said Kenyan carriers can resume of flights immediately.
Last month, Tanzania nullified its approval for Kenya Airways to land in the country with effect from August 1, 2020 after Kenya excluded it from a list of about 111 countries whose passengers are allowed to enter its territory without being quarantined for 14 days.
A few days later, Tanzania banned three more Kenyan carriers - AirKenya Express, Fly540 and Safarilink Aviation - from flying into the country as it piled pressure on Kenya to ease its Covid-19 travel restrictions.
The tit-for-tat between the two countries was precipitated by different approaches that they have taken to tackle the Covid-19 pandemic.
While Kenya has ranked Tanzania on its red list, the latter has always maintained that it is Covid-19 free.
Kweli ninyi ni vichaa, serikali yetu ilishasema kwamba mkiweka Tanzania katika orodha ya nchi mlizoruhusu ndio wataruhusu ndege za Kenya kutua Tanzania, na ndivyo ilivyofanya, sasa ninyi ambao mlisema hamtoiweka Tanzania katika hiyo list hadi Tanzania itakapotoa taarifa za wagonjwa wa Corona, tuwachukulieje?
Hao jamaa hawapo sawa, lini serikali yetu ilisema hivyo.Wanajitekenya tu na pia nimegundua nchi yao imejaa viongozi wahuni na wafuja fedha.
Badilikeni nyie, Tanzania tunawajua ndani nje nyie.Ukileta zenu majibu hapo hapo maana nyie hamjielewielewi , mapigo ya serikali yetu ya mwaka 2020 yatakuwa darasa mujarabu kwenu.Wanasemanga he who laughs last laughs best ππ.Habari ndio hio
Ha ha ha we jamaa ni bure kabisa. Yaani mmelia weee, tumewaambia hadi mseme Tanzania ni salama, mmesema, tumewafungulia. Au bado hamjasema Tanzania ni salama tuzuie tena?Baada ya Watanzania kupiga domo jana kuwa Tanzania haitaruhusu KQ kuingia humo hadi mwakani, Tanzania imeshindwa kungoja hata wiki moja ili kufunza Kenya adabu kama mlivyokuwa mkisema.
Yaani hata masaa 24 hazijaisha kabla Kenya kuruhusu malazy kuingia huku, tayari TZ imeruhusu KQ kuingia. Hio haraka ni ya nini? Hii inaonyesha kuwa Tanzania ni nchi yenye utoto sana. Mnanuna kila wakati. Si mngengoja hata wiki moja ili sisi Wakenya tupate adabu kama mlivyosema? Kenya babu yenu.
=======
Tanzania lifts ban on Kenyan airlines
Kenyan carriers will resume flights with immediate effect after Tanzanian regulator lifts ban.
File | Nation Media Group
Kenyan airlines have finally been allowed to land in Tanzania, bringing an end to the airspace feud between the two countries.
This is after the Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) announced that it had lifted the suspension that hit Kenyan airlines.
In a statement, TCAA director general Hamza Johari said the authority was acting on reciprocal basis after its Kenyan counterpart, the Kenya Civil Aviation Authority (KCAA), included Tanzania on a revised list of countries exempted from the 14-day mandatory quarantine upon arrival.
βIn view of that and on a reciprocal basis, Tanzania has now lifted the suspension for all Kenyan Operators namely, Kenya Airways, Fly 540 Limited, Safarilink Aviation and AirKenya Express Limited,β TCAA director general Hamza Johari said.
Mr Johari said Kenyan carriers can resume of flights immediately.
Last month, Tanzania nullified its approval for Kenya Airways to land in the country with effect from August 1, 2020 after Kenya excluded it from a list of about 111 countries whose passengers are allowed to enter its territory without being quarantined for 14 days.
A few days later, Tanzania banned three more Kenyan carriers - AirKenya Express, Fly540 and Safarilink Aviation - from flying into the country as it piled pressure on Kenya to ease its Covid-19 travel restrictions.
The tit-for-tat between the two countries was precipitated by different approaches that they have taken to tackle the Covid-19 pandemic.
While Kenya has ranked Tanzania on its red list, the latter has always maintained that it is Covid-19 free.